alexxis
Member
- Sep 24, 2015
- 6
- 0
mm ni msichana wa miaka 19 nimemaliza form 6 mwaka huu nilisoma shule ya washichana Marian girls mchepuo wa PCM nikafanikiwa kuondoka na div 2.Tatizo linalo nikumba saiz nimechaguliwa chuo cha ifm lakini wameni select katika coz 2 (IT na banking &finance) natakiwa nichague coz moja kati ya hzo za kusoma.Moyoni naipenda sana banking bt wazaz wananilazimisha nisome IT kwakudai inalipa kwenye ajira.Waungwana naombeni mnipe msaada wa mwanga niweze japo kutetea future yangu mnanishauri nisome nn.