Poleni na majukumu ya Kila siku ndugu
Tatizo lililonileta hapa ni kuhusu mahusiano yangu na binti mmoja yupo kidato cha sita na mimi nipo chuo naingia mwaka wa mwisho!
Huyu binti nimempata miaka Miwili iliyopita na mpaka sasa tunapendana kweli, na tunatamani kuwa baba na mama siku moja ila tatizo ni kwamba mimi sina imani kama inawezekana kumuoa yeye ukizingatia bado ana safari ndefu ya kimasomo
Kingine ni Hili la kuogopa kupoteza muda wangu na energy yangu kwa mtu ambaye baadaye naweza hata nisimuoe tukaishia kupotezeana muda na kuumizana, pia ukizingatia binti kwai wapo vizuri kiuchumi na mimi kwetu pa kawaida sana, hii inanifanya nihisi kwao watataka mwanaume ambaye tayari aa financial Freedom!
Binafsi Mimi nafikiria kumuacha Maana naona im too young(23yrs) kufikiria maswala ya kuoa, hii itafanya nisiwe na ufanisi katika shughuli zangu hasa masomo yangu pia!
Baada ya kuwaza binafsi nimetamani kuwashirikisha na nyinyi ili mnipe maoni yenu isije nikafanya maamuzi ya kushtukiza nitakayoyajutia!
Santana
Tatizo lililonileta hapa ni kuhusu mahusiano yangu na binti mmoja yupo kidato cha sita na mimi nipo chuo naingia mwaka wa mwisho!
Huyu binti nimempata miaka Miwili iliyopita na mpaka sasa tunapendana kweli, na tunatamani kuwa baba na mama siku moja ila tatizo ni kwamba mimi sina imani kama inawezekana kumuoa yeye ukizingatia bado ana safari ndefu ya kimasomo
Kingine ni Hili la kuogopa kupoteza muda wangu na energy yangu kwa mtu ambaye baadaye naweza hata nisimuoe tukaishia kupotezeana muda na kuumizana, pia ukizingatia binti kwai wapo vizuri kiuchumi na mimi kwetu pa kawaida sana, hii inanifanya nihisi kwao watataka mwanaume ambaye tayari aa financial Freedom!
Binafsi Mimi nafikiria kumuacha Maana naona im too young(23yrs) kufikiria maswala ya kuoa, hii itafanya nisiwe na ufanisi katika shughuli zangu hasa masomo yangu pia!
Baada ya kuwaza binafsi nimetamani kuwashirikisha na nyinyi ili mnipe maoni yenu isije nikafanya maamuzi ya kushtukiza nitakayoyajutia!
Santana