Asalaam wana jf.
Jamani mimi nipo njia panda,nashindwa kujua njia iliyosahihi,kulia ama kushoto?ebu naombeni ushauri wenu,nipite njia gani,ama nisubiri hapahapa nilipo mpaka Maulana atakapopenda kunijuza njia iliyosahihi.
N.B:Nimetoka kulipuliza chooni,tena lilikuwa fantom laukweli,ukichanganya na ile kali.Yaani ni burudaniiiiii....