Msamehe tu!!!!!!!!!! Kwani wewe umekosea wangapi? Sie binadamu hakuna mkamilifu! This is exactly what a weak man will do!
USIMSAMEHEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!
1. She disrespected you purposely kwa kufanya ufuska in her matrimonial home and matrimonial bed!!!!!!!!!! Hii ni zarau kubwa sanaaa to your manhood!
2. Hakupendi kabisaaa! She made a choice kumpa ubuyu mwanaume mmoja and that man wasnt you dude!!!!!!!!! Ooooppps!!!!!!
3. She isnt sorry but stranded! Kama alijuta ulivomfurumusha angekimbilia kumuomba mama yako amuombee msamaha! But she did is leave without turning back kama Lutu vile alivoondoka gomora na sodoma. Miez mitano maisha yamempiga ndo kakukumbuka zoba lake.
4.I bet you 200% atarudia tena coz YOU DONT KNOW WHY SHE DID IT IN THE 1ST PLACE!!!!!! Think Boy! Think!
Alichokiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe! (Najuuuuuuuuuta kufungua hii thread)
Nilikuwa na mke akapatwa na ugonjwa lakn nikafanikiwa kumuuguza na akapona ila akaniambia hana ham ya tendo la ndo lakn baada ya wiki nikasafir kikaz kumbe mke wangu anauhusiano na rafki yang niliporud akaniambia bado hana ham kabisa nikawa namwacha lakn sk1 nilikuwa kazn usk nikapgiwa sim na mtu nisie mjua akanambia nenda nyumban kwako kajionee uchafu wa mke nikaenda na nikawafumania kweli iliniuma sana skuwafanya lolote badala yake nikamwamuru aondoke kwang si mke wang tena baada ya miez mitano akaja kwa mama yangu kumwomba amwombee msamaha ili turudiane nae mama ananiambia nimsamehe , lakn moyo wangu hautaki hata kumwona. Naomben ushaur wenu
Kwa maana wewe hujawahi kugegeda nje ya uliyekubaliana naye? Acha ubinafsi, kwanza sisi wanaume ndio wagegedaji sana njekwangu mimi kosa la uzinifu halina msamaha
Je ulivyowafumania uliwakuta na condom? Je wewe huogopi ukimwi? hujui kwamba wanawake wapo wengi sana? Hujui kwamba wanawake wana huruma ndio maana mama yako anasema umsamehe? Usipende kutaka sifa za kijinga chukua maamuzi magumuNilikuwa na mke akapatwa na ugonjwa lakn nikafanikiwa kumuuguza na akapona ila akaniambia hana ham ya tendo la ndo lakn baada ya wiki nikasafir kikaz kumbe mke wangu anauhusiano na rafki yang niliporud akaniambia bado hana ham kabisa nikawa namwacha lakn sk1 nilikuwa kazn usk nikapgiwa sim na mtu nisie mjua akanambia nenda nyumban kwako kajionee uchafu wa mke nikaenda na nikawafumania kweli iliniuma sana skuwafanya lolote badala yake nikamwamuru aondoke kwang si mke wang tena baada ya miez mitano akaja kwa mama yangu kumwomba amwombee msamaha ili turudiane nae mama ananiambia nimsamehe , lakn moyo wangu hautaki hata kumwona. Naomben ushaur wenu
ushauri mwengine kama nguvu za giza miezi mitano hiyo papuchi aliiweka store,mungu sio mnafiki kihivyo wewe eti mwombee si bora uombe uwe tajiri uzidi kuwagegedakaka mi nadhani msamehe lakini kwa matazamio,pia mwombee kwa Mungu atabadilika tu
Nilikuwa na mke akapatwa na ugonjwa lakn nikafanikiwa kumuuguza na akapona ila akaniambia hana ham ya tendo la ndo lakn baada ya wiki nikasafir kikaz kumbe mke wangu anauhusiano na rafki yang niliporud akaniambia bado hana ham kabisa nikawa namwacha lakn sk1 nilikuwa kazn usk nikapgiwa sim na mtu nisie mjua akanambia nenda nyumban kwako kajionee uchafu wa mke nikaenda na nikawafumania kweli iliniuma sana skuwafanya lolote badala yake nikamwamuru aondoke kwang si mke wang tena baada ya miez mitano akaja kwa mama yangu kumwomba amwombee msamaha ili turudiane nae mama ananiambia nimsamehe , lakn moyo wangu hautaki hata kumwona. Naomben ushaur wenu
Kwa maana wewe hujawahi kugegeda nje ya uliyekubaliana naye? Acha ubinafsi, kwanza sisi wanaume ndio wagegedaji sana nje[/QUO
Bora nje ya kusikia, kuliko ndani yakuona. maumivu yake ni tofauti ati.
Je ulivyowafumania uliwakuta na condom? Je wewe huogopi ukimwi? hujui kwamba wanawake wapo wengi sana? Hujui kwamba wanawake wana huruma ndio maana mama yako anasema umsamehe? Usipende kutaka sifa za kijinga chukua maamuzi magumu