Nipo njia panda naombeni ushaur

Nipo njia panda naombeni ushaur

Mgirik

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
13,258
Reaction score
13,367
Nilikuwa na mke akapatwa na ugonjwa lakn nikafanikiwa kumuuguza na akapona ila akaniambia hana ham ya tendo la ndo lakn baada ya wiki nikasafir kikaz kumbe mke wangu anauhusiano na rafki yang niliporud akaniambia bado hana ham kabisa nikawa namwacha lakn sk1 nilikuwa kazn usk nikapgiwa sim na mtu nisie mjua akanambia nenda nyumban kwako kajionee uchafu wa mke nikaenda na nikawafumania kweli iliniuma sana skuwafanya lolote badala yake nikamwamuru aondoke kwang si mke wang tena baada ya miez mitano akaja kwa mama yangu kumwomba amwombee msamaha ili turudiane nae mama ananiambia nimsamehe , lakn moyo wangu hautaki hata kumwona. Naomben ushaur wenu
 
Ungekuwa hutaki kusamehe usingeomba ushauri.. Kwa vile inaonekana chance ya kusamehe ipo moyoni mwako forgive and forget!
 
++
Moyo huona mbali kuliko macho.
Sikiliza moyo wako
++
 
  • Thanks
Reactions: Q.L
Msamehe tu!!!!!!!!!! Kwani wewe umekosea wangapi? Sie binadamu hakuna mkamilifu! This is exactly what a weak man will do!

USIMSAMEHEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1. She disrespected you purposely kwa kufanya ufuska in her matrimonial home and matrimonial bed!!!!!!!!!! Hii ni zarau kubwa sanaaa to your manhood!

2. Hakupendi kabisaaa! She made a choice kumpa ubuyu mwanaume mmoja and that man wasnt you dude!!!!!!!!! Ooooppps!!!!!!

3. She isnt sorry but stranded! Kama alijuta ulivomfurumusha angekimbilia kumuomba mama yako amuombee msamaha! But she did is leave without turning back kama Lutu vile alivoondoka gomora na sodoma. Miez mitano maisha yamempiga ndo kakukumbuka zoba lake.

4.I bet you 200% atarudia tena coz YOU DONT KNOW WHY SHE DID IT IN THE 1ST PLACE!!!!!! Think Boy! Think!

Alichokiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe! (Najuuuuuuuuuta kufungua hii thread)
 
Nilikuwa na mke akapatwa na ugonjwa lakn nikafanikiwa kumuuguza na akapona ila akaniambia hana ham ya tendo la ndo lakn baada ya wiki nikasafir kikaz kumbe mke wangu anauhusiano na rafki yang niliporud akaniambia bado hana ham kabisa nikawa namwacha lakn sk1 nilikuwa kazn usk nikapgiwa sim na mtu nisie mjua akanambia nenda nyumban kwako kajionee uchafu wa mke nikaenda na nikawafumania kweli iliniuma sana skuwafanya lolote badala yake nikamwamuru aondoke kwang si mke wang tena baada ya miez mitano akaja kwa mama yangu kumwomba amwombee msamaha ili turudiane nae mama ananiambia nimsamehe , lakn moyo wangu hautaki hata kumwona. Naomben ushaur wenu

Hili neno kusamehe naona tunalitumia vibaya sana.Unanyimwa chakula cha mzee halafu anapewa rafiki yako???Kwa ushauri wangu achana nae maana hata hapo kwenye red panachangia,unaweza kujikuta siku moja unaua.
 
Yaani alivomgeuza boya yeye alimnyima kabisaaa bora angekuwa anampa hata kidogo....yeye kasingiziwa ugonjwa kauguza wee kumbe wenzake wanakula kilainii....kuna wanawake mafisi aisee
msamehe tu!!!!!!!!!! Kwani wewe umekosea wangapi? Sie binadamu hakuna mkamilifu! This is exactly what a weak man will do!

Usimsameheee!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1. She disrespected you purposely kwa kufanya ufuska in her matrimonial home and matrimonial bed!!!!!!!!!! Hii ni zarau kubwa sanaaa to your manhood!

2. Hakupendi kabisaaa! She made a choice kumpa ubuyu mwanaume mmoja and that man wasnt you dude!!!!!!!!! Ooooppps!!!!!!

3. She isnt sorry but stranded! Kama alijuta ulivomfurumusha angekimbilia kumuomba mama yako amuombee msamaha! But she did is leave without turning back kama lutu vile alivoondoka gomora na sodoma. Miez mitano maisha yamempiga ndo kakukumbuka zoba lake.

4.i bet you 200% atarudia tena coz you dont know why she did it in the 1st place!!!!!! Think boy! Think!

Alichokiunganisha mungu binadamu asikitenganishe! (najuuuuuuuuuta kufungua hii thread)
 
Yaani alivomgeuza boya yeye alimnyima kabisaaa bora angekuwa anampa hata kidogo....yeye kasingiziwa ugonjwa kauguza wee kumbe wenzake wanakula kilainii....kuna wanawake mafisi aisee

hapo umesomeka mtumzima inaonesha mm nilikuwa mmwagiliaji lakn wachumaji wapo
 
  • Thanks
Reactions: Q.L
Fanya hivi,ingekua ni wewe umemfanyia hivyo mkeo angekusamehe if yes then msamehe lakini kwa mashart kwanza,lakini nina wasiwasi na mkeo pia yani hadi miez mitano ndio ana geuza alikua wapi muda wote huo,mara nyingi usipende kushirikisha moyo kwenye uamuzi tumia akili yako.
 
Yaani alivomgeuza boya yeye alimnyima kabisaaa bora angekuwa anampa hata kidogo....yeye kasingiziwa ugonjwa kauguza wee kumbe wenzake wanakula kilainii....kuna wanawake mafisi aisee

hahahahaaaaaaaaaaaa, achukue hiii.
 
Msamehe tu!!!!!!!!!! Kwani wewe umekosea wangapi? Sie binadamu hakuna mkamilifu! This is exactly what a weak man will do!

USIMSAMEHEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1. She disrespected you purposely kwa kufanya ufuska in her matrimonial home and matrimonial bed!!!!!!!!!! Hii ni zarau kubwa sanaaa to your manhood!

2. Hakupendi kabisaaa! She made a choice kumpa ubuyu mwanaume mmoja and that man wasnt you dude!!!!!!!!! Ooooppps!!!!!!

3. She isnt sorry but stranded! Kama alijuta ulivomfurumusha angekimbilia kumuomba mama yako amuombee msamaha! But she did is leave without turning back kama Lutu vile alivoondoka gomora na sodoma. Miez mitano maisha yamempiga ndo kakukumbuka zoba lake.

4.I bet you 200% atarudia tena coz YOU DONT KNOW WHY SHE DID IT IN THE 1ST PLACE!!!!!! Think Boy! Think!

Alichokiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe! (Najuuuuuuuuuta kufungua hii thread)
I positively second this motion!!!
 
fuata moyo wako,mwambie akaolewe na huyo rafiki yako,mtu amekunyima unyumba kisa mwanaume mwingine
 
Usikilize moyo wako macho kazi ni ktamani tu na kuacha

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
"usimuamini muongo hata akisema ukweli."
 
Back
Top Bottom