Nipo natizama TBC nashangaa!

Nipo natizama TBC nashangaa!

Si mlishapeana Ushauri msiangalie TBC kwa nini hamuheshimu makubaliano yenu wenyewe mlioamua kwa hiyari yenu?

tangu tido mhando aondoke sijawahi kuangalia tbc Ni heri hata kuzima tv kuliko kuangalia tbc.
wakati WA tido walikuwa na vipindi vizuri ikiwemo makala za BBC na RT
 
Pengine amelipia tusitangaze sana chuki kama hatuna uhakika

Sikusema kama amelipa au hakulipa. hapa swala ni kuwa tbc ni ya nani? na soko ni la nani?
 
Pengine amelipia tusitangaze sana chuki kama hatuna uhakika

Kama ni kulipia hata hilo bango hapo soko la kariakoo ni wazi lililipiwa, hakuna bango utaweka mjini bila kulipia, labda pawe na tofauti zingine za hivi vyombo vya umaa (TBC na Soko la Kariakoo).
 
Back
Top Bottom