Nipo Dodoma, hivi vitu nitavipataje?

kyatamato

JF-Expert Member
May 14, 2015
387
269
Habari,
Nataka kufungua biashara ya kuuza saa, cheni, heren, bangili, lakini sijui sehemu ya kununua kwa jumla ili mimi niuze leja leja..
shukran kwa atakaye nisaidia.
 
0713 235 535 piga hiyo namba acha maneno wala ulikoitoa ongea naye issue ya biashara yako!!!!
 
Habari,
Nataka kufungua biashara ya kuuza saa, cheni, heren, bangili, lakini sijui sehemu ya kununua kwa jumla ili mimi niuze leja leja..
shukran kwa atakaye nisaidia.

Mambo mazuri kama hayo niPm nikupe mzigo
 

Attachments

  • 1439991910754.jpg
    1439991910754.jpg
    18.6 KB · Views: 71
Back
Top Bottom