Nina result slip kwa cheti cha form four ila cha kuzaliwa nina photocopy yake tuKama una soft copy utakua na unafuu kidogo.
Results sleep haitumiki popote, tembelea maeneo unayohisi umeangushia na upost FB kule ndo kunawatumiaji wengi kuliko huku kwa wamiliki wa magari na majumba na wasomi hewa.Nina result slip kwa cheti cha form four ila cha kuzaliwa nina photocopy yake tu
Okay nashukuruResults sleep haitumiki popote, tembelea maeneo unayohisi umeangushia na upost FB kule ndo kunawatumiaji wengi kuliko huku kwa wamiliki wa magari na majumba na wasomi hewa.
Ukishindwa kukipata, toa taarifa polisi, weka tangazo kwenye gazeti then nenda NECTA watakupatia cheti kingine,Nimepotelewa cheti cha kuzaliwa na cheti cha form four,jina ni GRAYSON MAIGATHA MUTELANI kwa yeyote atakaye viona naomba tuwasiliane niweze kuvipata.
Pamoja mkuuUkishindwa kukipata, toa taarifa polisi, weka tangazo kwenye gazeti then nenda NECTA watakupatia cheti kingine,
NB ,Ukienda NECTA bila fomu ya polisi na copy ya tangazo la gazeti hutosaidiwa.
Aandae na laki 1Ukishindwa kukipata, toa taarifa polisi, weka tangazo kwenye gazeti then nenda NECTA watakupatia cheti kingine,
NB ,Ukienda NECTA bila fomu ya polisi na copy ya tangazo la gazeti hutosaidiwa.
Inachukua mda gani kukipataAandae na laki 1
Siku 30Inachukua mda gani kukipata
Yap NilisahauAandae na laki 1
Pamoja mkuuSiku 30
Ivi soft copy hata kama ni coloured inakusaidia nini maana interview wanataka cheti original na sio copy iwe coloured bdo ni copy tuKama una soft copy utakua na unafuu kidogo.
Sidhani kama necta watampa cheti original ila navyojua anapata cheti mbadalaUkishindwa kukipata, toa taarifa polisi, weka tangazo kwenye gazeti then nenda NECTA watakupatia cheti kingine,
NB ,Ukienda NECTA bila fomu ya polisi na copy ya tangazo la gazeti hutosaidiwa.
Cheti mbadala kinakua original chief sema kinaandikwa duplicate maanake cha piliSidhani kama necta watampa cheti original ila navyojua anapata cheti mbadala