Nipeni mbinu ya kumtongoza huyu jirani

Nipeni mbinu ya kumtongoza huyu jirani

Wakuu kuna kademu kamoja kajirani kangu ni kazuri kinoma ni kasukuma, haka kademu uwa kanakuja kwangu kuniomba muvi sasa cha ajabu uwa nakagoma kuingia ndani, nina mawasiliano nacho kama siku 4 hivi jana nikaambia nauma asubuhi kamenipigia na kunipa pole nikaambia leo nikione nimekumiss kakajibu ntakuja. Na mimi nimekumiss, kweli kamekuja kuniona ila kama kawaida kanakaa nje, wakuu nitumie mbinu gani kukapata,
Maana nimeogopa kukatongoza mapema,
Nenda nacho pole pole, katajaaa tu
 
Akikaa hapo nje mkuu jifanye kama unamsalimia kwa kumpa mkono akikupa tu mvute kwa nguvu zako zote mkuu, hakikisha mlango upo wazi wote ili asijigonge katika uvutaji akiingia bado atakuwa na wenge funga mlango mbaaah kisha hema kwanza.. mambo kama hayo ukiona hayaendi kaka unaenda mwenyewe

Unamtafutia mwenzio kesi ya ubakaji
 
Wakuu kuna kademu kamoja kajirani kangu ni kazuri kinoma ni kasukuma, haka kademu uwa kanakuja kwangu kuniomba muvi sasa cha ajabu uwa nakagoma kuingia ndani, nina mawasiliano nacho kama siku 4 hivi jana nikaambia nauma asubuhi kamenipigia na kunipa pole nikaambia leo nikione nimekumiss kakajibu ntakuja. Na mimi nimekumiss, kweli kamekuja kuniona ila kama kawaida kanakaa nje, wakuu nitumie mbinu gani kukapata,
Maana nimeogopa kukatongoza mapema,
Kasome kitabu cha nyimbo iliyo bora kwenye biblia 🤦🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utakuja kushukuru
 
Wakuu kuna kademu kamoja kajirani kangu ni kazuri kinoma ni kasukuma, haka kademu uwa kanakuja kwangu kuniomba muvi sasa cha ajabu uwa kanagoma kuingia ndani.

Nina mawasiliano nacho kama siku 4 hivi jana nikakiambia naumwa asubuhi kamenipigia na kunipa pole nikakiambia leo nikione nimekumiss kakajibu ntakuja na mimi nimekumiss, kweli kamekuja kuniona ila kama kawaida kanakaa nje.

Wakuu nitumie mbinu gani kukapata,
Maana nimeogopa kukatongoza mapema.
Kaka huu mradi utakugharim kiasi cha pesa taslimu,unaweza fikiri kigori kumbe ni karumbembe
 
Wakuu kuna kademu kamoja kajirani kangu ni kazuri kinoma ni kasukuma, haka kademu uwa kanakuja kwangu kuniomba muvi sasa cha ajabu uwa kanagoma kuingia ndani.

Nina mawasiliano nacho kama siku 4 hivi jana nikakiambia naumwa asubuhi kamenipigia na kunipa pole nikakiambia leo nikione nimekumiss kakajibu ntakuja na mimi nimekumiss, kweli kamekuja kuniona ila kama kawaida kanakaa nje.

Wakuu nitumie mbinu gani kukapata,
Maana nimeogopa kukatongoza mapema.
DOndosha noti za 10k za kutosha sebuleni, akija mwambie aingie akusaidie kuokota unaumwa mgongo huwezi kuinama🤣🤣🤣
 
Kasome kitabu cha nyimbo iliyo bora kwenye biblia 🤦🤣🤣🤣🤣🤣🤣 utakuja kushukuru
Mpendwa wangu aliutia mkono wake tunduni, Na moyo wangu ukachomeka kwa ajili yake.

Wimbo Ulio Bora 5:4
🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom