bright platnumz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,740
- 3,659
Nakuona hapa misungwi unaziba pancha haukuwa na spare tyre
Nakuona hapa misungwi unaziba pancha haukuwa na spare tyre
Practically impossible maana njiani kwa usiku yamejaa malori mengi Sana, halafu check Mwanza-shinyanga 1 hr, shinyanga nzega 1hr, nzega singida 2hrs, singida Dom 1hr, Dom Moro 1hr, Moro Dar 1hr...Hata kama ungekua na gari ya uwezo wa kukimbia zaidi ya 200km/hr huwezitoboa MZA-DSM kwa masaa sita,never and impossible kwa gari ya ardhini.Kadanganye kwenu,labda kunayo wajinga wenzio huko.
hivi bila picha tutaaminije kuwa alikuwa mwanza , angepiga picha hata ya kibao kinachoonyesha kuwa ni usagarapiga picha gari ikiwa maeneo ya mwanza
Huyu jamaa mhuni sana,ndugu yake na kidukilo!,c atupie picha hata yupo misungwi!Mzushi tu huyu!
Wewe badala utume picha ya gari husika unatuwekea picha za Ku download mtandaoniBeira boy nitafika dar saa sita usiku na nitaondoka mwanza saa kumi na mbili jionView attachment 1211235
shiiiii!Sikuhisi hupandi wale fisi wa bibi yako?
Mwanza Dar unatumia saa 7,mbona nyingi,Tafuta mnara wa mitandao ya Simu panda juu,kisha jiachie huku umefumba macho,sekunde chache utakua umeingia DarAman iwe nanyi wakuu
Leo niko safari froma mwanza to Dar lakin niko na mnyama mkali sana mzee wa kuchanga mbuga ranger ford
Ebhana ee
Nitakuwa nawapa update ya safari na njian kwa ujmla
Safari nitaanza saa kumi na mbili jion kwa sababu naogopa matrafik na fain na jum zisizo na maana
Ukisia ajari ya ford kwa kesho au leo usiku bas jua ni mimi mwana jf mwenzio beira boy from LONDON
Hivyo msiache kutoa IRP zenu ndugu zangu
Nikishatoka usagara tu kuitafuta tinde itakuwa ni habari nyingine nitaondoka usagara misungwi mwanza kwa kitwanga mawe tatu kwa Mwendo wa rocket
Japo safari nitaianzia home igoma
LONDON BOY
Vya kufurahisha walionuna sio ?wapi update! au umekutana na mkuu @kidukulilo akakukodishia Airbus nzima kwa 200,000,000 isi usijichoshe maana wewe na jamaa huyo mna vinasaba vinavyofanana
Namhurumia sana huyu msukuma mwenzanguKaribu mwanza ukiwa kwenye ambulance
Kulikua na ulazima wa kuweka picha ya kudownload?Beira boy nitafika dar saa sita usiku na nitaondoka mwanza saa kumi na mbili jionView attachment 1211235
Akikujibu naomba ni tagKulikua na ulazima wa kuweka picha ya kudownload?
Ni nani umepanga kumdanganya humu JF?Mkiniona sijibu coment siyo kwamba sipend hapana nimeshika usukani endeleen kuniombea wazee
Nawapenda na Mungu anawapenda pia