Beira boy nitafika dar saa sita usiku na nitaondoka mwanza saa kumi na mbili jionView attachment 1211235
Ndo naanza safari mkuu
Labda ni ndugu na Ford ranger"Ranger ford "ni nini ?
Hapo umepewa lift uko seat ya nyuma ata horn huwezi piga..Aman iwe nanyi wakuu
Leo niko safari froma mwanza to Dar lakin niko na mnyama mkali sana mzee wa kuchanga mbuga ranger ford
Ebhana ee
Nitakuwa nawapa update ya safari na njian kwa ujmla
Safari nitaanza saa kumi na mbili jion kwa sababu naogopa matrafik na fain na jum zisizo na maana
Ukisia ajari ya ford kwa kesho au leo usiku bas jua ni mimi mwana jf mwenzio beira boy from LONDON
Hivyo msiache kutoa IRP zenu ndugu zangu
Nikishatoka usagara tu kuitafuta tinde itakuwa ni habari nyingine nitaondoka usagara misungwi mwanza kwa kitwanga mawe tatu kwa Mwendo wa rocket
Japo safari nitaianzia home igoma
LONDON BOY
Teh teh teh! Poa mkuu, uwe unatupia na screen short ya speed meter.Ukisia ajali ya ford kwa kesho au leo usiku bas jua ni mimi mwana jf mwenzio beira boy from LONDON
LONDON BOY
Sikuhisi hupandi wale fisi wa bibi yako?Yesu ni mwema ewe Mungu ni mwema
Safari inaanza
Mungu nisaidie
Najiweka mikononi mwako
Naondoka kama rocket
Bye bye
Huyu jamaa mhuni sana,ndugu yake na kidukilo!,c atupie picha hata yupo misungwi!Mzushi tu huyu!Oya wapi hiyo mzee baba