Katika hali isiyo ya kawaida kwa TBC, Leo kaalikwa mwanasiasa mkongwe Mzee Wasira katika kipindi cha NIPE TANO. Hakika TBC Leo mmemtendea haki Wasira.
GANGANA umerusha makombora mengi sana ya kisiasa kwa Wasira. Sasa kuna swali inasemekana Tyson aliwahi kumvizia chooni Lissu ili ampige, hili likoje kwa wanaofahamu?
GANGANA umerusha makombora mengi sana ya kisiasa kwa Wasira. Sasa kuna swali inasemekana Tyson aliwahi kumvizia chooni Lissu ili ampige, hili likoje kwa wanaofahamu?