Dow
Member
- Aug 3, 2017
- 56
- 34
Wakuu mimi akili yangu yote inawaza Abroad Nipo masomoni bado ila nafikili zaidi kuishi abroad baada ya kumaliza Chuo, Nahitaji Brothers and sister mlioko mataifa mbalimbali nje ya Africa mnipe ABC pa kuanzia ata kama ntafanya kazi out of my professional, Natumia muda mwingi kujifunza lugha na kutafuta marafiki walioko mataifa mbalimbali ili nipate connection chuo pia mambo yanaenda Poa napambana Nasomea Engineering