Je, na wewe ni mmoja wa wasomaji wa gazeti la Nipashe? Umegundua kwamba gazeti la leo halina ukurasa wa saba ambao unaelezea habari za Edo kiundani. Nimejaribu magazeti zaidi ya mawili katika vibanda tofauti vya kuuzia magazeti nikakuta kurasa hizo za ndani zinamiss.
Je, ni makusudi au bahati mbaya?
Je, ni makusudi au bahati mbaya?