Nionavyo kuhusu viwanda vyetu

Azizi Mussa

JF-Expert Member
May 9, 2012
9,172
7,428
Tujengeni viwanda tuwezavyo, kinachotakiwa ni viwanda, viwanda vyovyote vile, viwanda ni viwanda, hata viwe viwanda vya nini ni viwanda tu. viwanda tunavyovitaka ni viwanda vyetu wenyewe, Ni viwanda vitakavyozalisha bidhaa za viwandani, viwanda vya nyumbani. Viwanda vidogo na viwanda vikubwa. Viwanda ni muhimu kwa uchumi wa viwanda. Hatuwezi tukawa na uchumi wa viwanda bila viwanda vyenyewe. Shime tujibidisheni kubuni viwanda na kujenga hivyo viwanda vyenyewe. Hatua ya kuanzia ni kujenga ujasiri kuwa tunaweza tukawa na uchumi wa viwanda kwa kujenga viwanda vyetu wenyewe kabla ya kuvijenga hivyo viwanda vyenyewe na kila mtu anaweza kuanza kujenga kiwanda kidogo na kisha kiwanda kikubwa. Shime tujenge viwanda na hapo ndipo tutakapoweza kuwa na Tanzania ya viwanda na kuwa moja ya nchi ya viwanda yenye viwanda vingi vya kati, viwanda vidogo na viwanda vikubwa lakini muhimu ni kuwa viwanda vyote hivyo vitakuwa vinazalisha bidhaa za viwandani.
 
Back
Top Bottom