Mke wangu amekata tamaa ya maisha kisa hatna mtoto tunalea WA wengine,tumejaribu njia zote za kisasa na kienyeji kwa miaka6 bila mafanikio,kila anapopata siku zake ni kilio kiukweli hana tatizo lolote la kiafya,nifanyaje jamani nampenda mke wangu namuonea huruma anavuosononeka kiasi natamani nimuache akaanze maisha na mtu mwingine labda atazaa,sina jinsi jamani,IVF tumefanya hamna kitu,nisaidieni jamani labda kuna njia mbadala siijui