Huyo mwanamke kama alizaa na mtu mwingine je huyo mwanaume yuko hai? na kama yuko hai ni nini sababu za wao kutokuwa pamoja? hapa mjomba unaingia choo kike, ni ngumu sana watu kuyagunduwa makosa haya hasa ukiwa tayari umeshaonjeshwa tunda la katikati.
Hivi pata picha siku huyo binti yake siku anaolewa sasa mpo kwenye shereha za harusi halafu pale mbele high table mke wako anakaa na mwanaume mwingine maana ndio baba mzazi wa huyo binti!......kuna fedheha nyingine huwa tunazitafuta wenyewe.
Wazee walisema "Ndowa ni kutia mkono kizani" Wewe peleka mkono tu kwa kutarajia mafanikio la ukingatwa na ng'e utajiuguza na kujaribu tena!Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).Alifariki wakati wa kujifungua mtoto wetu wa pili. katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike 3yrs).je nina weza kufunga nae ndoa?.ushauri tafadhali.
Man angalia sana hawa waliozaa si mchezo.bora uendelee nae kwanza kumsoma.Kama unaweza kula nae tu mpaka hakuna cha ndoa
Never trust anything used.
ndio, mnaweza kufunga ndoa....kama mmependana......
Never trust anything used.
Never trust anything used.
Labda kwa vile umeshaoa zamani, lakini inaelekea wewe bado kijana kwa nini uoe kayamba-mwana mke ambaye ameshazaa!!! Aliyemzalisha kwa nini hakumuoa? Tafuta msichana achana na vilivyoanguka kwenye mchanga, uokote na kupuliza mchanga utoke halafu ule!!!
Never trust anything used.
ucpende kuhukumu kwa usichokijua waweza kuta alibakwa au ndo wanaume uchwara wamemwaribia maisha tusipende kuweka fallacy conclusion mi ni mwanamke na wanayotendea wanawake na baadhi ya wanaume yananikera sana ya kuwapa ujauzito na kuwatelekeza halafu vilaza wengine wanaongea ***** tu.
Its complicated, sio rahisi kama inavyoonekana kwa nje.
Inahitaji watu matured sana kiakili kuoana kama wote wana watoto.
Haya mambo ya ku-abuse watoto huanzia hapa.