Nini viashiria vya maisha kupanda hasa Dodoma?

Nini viashiria vya maisha kupanda hasa Dodoma?

Kubingwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2010
Posts
505
Reaction score
69
wadau naomba kuelimishwa pale ninaposikia gharama za maisha kuwa juu hasa dodoma,maana nataka kulinganisha na sehemu nyingine ya jamhuri yetu.Maana ukianza na Arusha watu wanasema ule mji ni balaa,sasa sielewi wanaangalia vitu gani,tafadhali ni kuelimishwa tu na sio mashambulizi.
 
Dododa ni capital city so lazima maisha yawe juu kuliko sehemu nyingine
 
bei ya kunnua machangudoa imepandishwa kwa hiyo wabunge wanashindwa kuafford.
 
Bei ya chakula inakuwa juu, Kodi za nyumba juu, nauli za mabasi juu, ada za shule juu kulika kipato cha wakaazi wa mkoa husika.
 
Mbona maisha ni magumu sehemu zote!!
 
Bei ya chakula inakuwa juu, Kodi za nyumba juu, nauli za mabasi juu, ada za shule juu kulika kipato cha wakaazi wa mkoa husika.
Kama ni hivyo buswe mbona karibu nchi yote ya tanzania ni hivyo iweje baadhi ya maeneo tu na raia wengine je?
 
Bei ya vyumba vya guest imepanda. By Makinda
 
Jibu analo mwanamke spika wa kwanza Tanzania. Haya ndiyo matokeo ya kangalia jinsi badala ya ubora wa kiongozi.
 
Katika miji ambayo kwa sasa ina bahati ya bidhaa kupanda taratibu ni Dodoma. Isipokuwa kwa siku za usoni gharama za maisha zimepanda kutokana na ongezeko la watu hasa wanavyuo wanaozidi kujazana kila siku. Hata hivyo kwa sasa mfumuko wa bei upo nchi nzima si Dodoma tu.
 
Je, gharama ya maisha yakionekana kupanda huko jijini Dodoma kama ambavyo wabunge wetu wa CUF na CCM walivyoonekana kutuaminisha hivi majuzi, sasa hali utakua inafanana vipi kwa vijana wasio na ajira jijini Dar es Salaam?:shock:
 
Ongezeko la machangudoa,wale high kilasiki wanaotoka na warbunge
wadau naomba kuelimishwa pale ninaposikia gharama za maisha kuwa juu hasa dodoma,maana nataka kulinganisha na sehemu nyingine ya jamhuri yetu.Maana ukianza na Arusha watu wanasema ule mji ni balaa,sasa sielewi wanaangalia vitu gani,tafadhali ni kuelimishwa tu na sio mashambulizi.
 
Kuna mahali ambako wakaz wake hawalalamiki vitu kuwa Juu?tuanze na dar,ambako x nying media huwahoj RAIA
Bei ya chakula inakuwa juu, Kodi za nyumba juu, nauli za mabasi juu, ada za shule juu kulika kipato cha wakaazi wa mkoa husika.
 
Back
Top Bottom