Nini ukweli kuhusu factory setting za simu?

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,458
3,209
Naomba kujua ikiwa nitafanya factory setting kwenye simu, je nitafanikiwa kuondoa software ambayo haikuja na simu?. Yaani, sottware iliyokuwa upgraded
 
Ndio! Factory settings inairudisha simu yako kuwa na features zile ilizotoka nazo kiwandani. Sio tu itaondoa apps, pia itaondoa logs zote za messages, calls, data n.k., pia themes. Kwa upande wa media files itategemea na media uliyotumia kuzihifadhi i.e. kama ipo kwenye mem card haitaondolewa
 
Ahsante! Kwa kuwa kuna application ya Office nimeshindwa kulipia baada ya ku-apgrade. Nita- restore factory setting ili kurudisha ile app. ya awali. Ntajitadidi na naamini ntafanikiwa.
 
Haifai kuitoa ila iondoe hiyo halafu itarudia ile ya awali mie nimeshafanya hard reset mara mbili.
 
Matunyengule- nitaondoaje hii software ya sasa ili nipate ile ya awali?
 
Back
Top Bottom