Nini tufanye kama JK atamteua e lowassa kuwa waziri mkuu?

hahahah tutaproof udanganyika wetu maaana cndo tuko hivyo maana baba ana roho mbaya yule katuingiza watanzania wote kwenye gharama ambayo faida yote imeiingia mfukoni kwake :smile-big:
 
Wana JF na watu wote wenye mapenzi mema na Tanzania, naomba mnijulishe ni nini tunaweza kufanya kama week ijayo Rais akimteua mshikaji wake E Lowasa kuwa Waziri Mkuu. Au je katiba ya nchi hairuhusu Waziri Mkuu aliyejiuzuru kwa manufaa ya umma kurudi tena kuwa waziri mkuu?
Kama katiba inaruhusu sitashangaa kusikia jina la Lowasa au Rostam linatoka kama waziri mkuu au Waziri katika wizara ya fedha. CCM hawana haibu............

Amekwisha fanya majaribio mengi tu kubwa ni la Wizi wa kura litamshinda la kuwachagua Mafisadi papa? Aendelee kujaribu tu. Kwani jua si linazama.
 
Amekwisha fanya majaribio mengi tu kubwa ni la Wizi wa kura litamshinda la kuwachagua Mafisadi papa? Aendelee kujaribu tu. Kwani jua si linazama.




embu thibitisha kwa data sio maneno . majungu sio issue
 
Lowasa ni fisadi, ila kuliko kuendelea na Pinda bora Lowasa awe waziri mkuu japo ni mchapakazi..ana kashfa ila nadhani ameshajifunza ...manake tusije tukaishia kumpata waziri mkuu ambaye ni kioja!
 
Back
Top Bottom