Danken Mbombo
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 651
- 339
Mara nyingi tunawasikia viongozi, mfano kamishna kova anasema watakao kamatwa watachukuliwa hatua KALI za kisheria. Kuna tofauti yoyote kati ya hizo ?hatua KALI za kisheria" na hatua za kisheria na ?