NusuMutu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 421
- 87
Heshima mbele wakuu. Nimeshangazwa na drama ya mapolis wa iringa pale mahakamani. Polis mwenzao walikuwa wamemzingira huku wakizuia asipigwe picha na waandishi wa habari. Hakika action walizokuwa wakizfanya mahakamani huwa zinaonekana katika sinema tena za Adolf Hitler tu.Tumemwona mkapa akienda mahakamani,na akapigwa picha (tena akitabasamu) tunawaona kila siku kina Basil Mramba,Mgonja na yule nani sijui mzee wa 'alex stewart' wote wanapigwa picha. Nini tafsiri ya polis kufanya sinema yote ile pale mahakamani? Najiuliza...