Ulimsikiliza Ruge..?? umesikiliza maneno ya meneja wa Jide..?? Mahakamani Jide alishindwa. Na kutokupiga nyimbo zake ilikuwa ni baada ya Jide kukataza hilo. Baada ya kumalizana, akaruhusu nyimbo zake zipigwe na clouds. Hayo ya kugombea yakoJe, ni kwamba mmoja kati ya Kusaga na Ruge wanakaribia kuchukua uteuzi katika serikali ya JPM? Kwa hiyo wameamua kuacha bifu ili waonekane vijana wazuri wasiozuia vipaji vya watz kukua? Just anxious, any guess or know how!! Nyadikwa
Kwani walikuwa wanazuia vipaji vyetu visikue?Je, ni kwamba mmoja kati ya Kusaga na Ruge wanakaribia kuchukua uteuzi katika serikali ya JPM? Kwa hiyo wameamua kuacha bifu ili waonekane vijana wazuri wasiozuia vipaji vya watz kukua? Just anxious, any guess or know how!! Nyadikwa
Kwani walikuwa wanazuia vipaji vyetu visikue?
Hawa walikuwa wanakuibua halafu wanakupaisha ila ukienda kinyume ndio wanakusha.
Ukipandishwa kwa fedha basi utashushwa kwa Fedha.
Ila kwa jide wapige nyimbo zake au wasipige sioni kama Jide atapungukiwa kitu.
SHETANI AKIZEEKA ANAGEUKA KUWA MALAIKAJe, ni kwamba mmoja kati ya Kusaga na Ruge wanakaribia kuchukua uteuzi katika serikali ya JPM? Kwa hiyo wameamua kuacha bifu ili waonekane vijana wazuri wasiozuia vipaji vya watz kukua? Just anxious, any guess or know how!! Nyadikwa
Unaongea ujinga gani wewKwa mawazo yako Jide wa zamani ni yuleyule wa sasa kimuziki??watu tushamsahau kabisa...usiongee ilimradi tu umetia comment...Clouds ana mkono mkubwa katika muziki wa bongo...Jide alikuwaga anapata promo sana Clouds..baada ya ugomvi wao mtu alipotea hapo
Lady Jaydee ni Legend pale ukumbi wa mlimani city kwenye "naamka tena" ilijaza na hit song ya ndindindi bila clouds.Kwa mawazo yako Jide wa zamani ni yuleyule wa sasa kimuziki??watu tushamsahau kabisa...usiongee ilimradi tu umetia comment...Clouds ana mkono mkubwa katika muziki wa bongo...Jide alikuwaga anapata promo sana Clouds..baada ya ugomvi wao mtu alipotea hapo
Lady Jaydee ni Legend pale ukumbi wa mlimani city kwenye "naamka tena" ilijaza na hit song ya ndindindi bila clouds.
-*baada ya clouds kumaliza tofauti na Sugu, Lady Jd nashauri pia wamalize na wasanii wengine pia kama kina ruby, dudu baya, rama dee nk.
Jide mzungumzie hukohuko dar tu...mikoani kasahaulika kabisa..ngoma zake zingekuwa zinapigwa kwny clouds media inge keep umaarufu wake on da track
Alafu unajiita mziki unaandika nini sasaJaman jide akufa kimziki ila kuna vitu alikosa , kusema ukweli clouds ndo wameshikilia bong flv