Komando anakula huku amebeba dunia chezea 92kj ww???
JK bwana alikaribishwa pale 92 kwenda kuwatembelea makomando. sasa kufika ukumbin alikuta pako empty kabisa hamna mtu akapigwa na butwaa. baada ya kukaa chin kwenye high table ikabd amwuulize yule c.o mbona hamna watu, c.o akamwambia mbona hao wapo, kugeuka kakuta watu walishajaa ukumbi mzima wametulia wanamsikiliza, jamaa akashindwa kuelewa waliingia sangap nakuweza kukaa bila kusikika hata mnong'ono. makomando bwana acha tu. tushee story mbalmbal za makomando
We utakuwa sio MTANZANIA, nime-prove
mimi sizani kama huyu naye jeshi, kwa nini mambo yanayohusu ishu hazijuimmmmhhhh.............
kumbe na wewe ni mjedah!..........ongera sana
sasa wataka kutuaminisha kwamba hawa makomandoo ni wachawi? meaning wana tumia imani zingine?
je kwan jk alipokuja huko kikosin 92 kulitokea maajabu gani?
waweza tembea uchiHao ni ma-power tu... mbona mi naweza....tu nasio mjeshi.... naweza kupanda juu ya mti kwa speed ya hatari bila kuukumbatia naruka kimo cha futi 7.6 juu speed 120 ....naweza pia kuicontroo akili kwakujifanya chizi.... ukaamin kuwa mi mwehu...... nimekukuu kama ilivyo hapa uswazi kwetu baada kuipata mada hii nikaiuza jamaa mmja akatokea anaweza naye ni komandoo..... in short komandoo analazimisha kisichowezekana kiwezekane.... haya sasa tuende kazi
mleta mada umri wako plsss
Nikuulize,hiyo escort ya watu wawili alikuwa amekaa nao wanasema alitoweka vipi? bado sioni uhalisia wa story yako
ni mbinu gani tena hizo na mie nijifunze manake natamanigi kweli kweli niwe na uwezo wa kuingia ikulu ninywe kahawa na kashata lkn nashindw naishiaga kupita tuu kwa nje na kuwaona tausi kwa mbali
Unamaana gani?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Komando92kj tafadhali njoo utujuze, naona una like tu afu unatoweka
lela alfulela..