donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
-
- #21
Nikuulize,hiyo escort ya watu wawili alikuwa amekaa nao wanasema alitoweka vipi? bado sioni uhalisia wa story yako
Kwani JK alifanyeje alipokuja huko ngelengele? Au aliiba ubwabwa tena? Manake mzee kwa ubwabwa nazi mh!
JK bwana alikaribishwa pale 92 kwenda kuwatembelea makomando. sasa kufika ukumbin alikuta pako empty kabisa hamna mtu akapigwa na butwaa. baada ya kukaa chin kwenye high table ikabd amwuulize yule c.o mbona hamna watu, c.o akamwambia mbona hao wapo, kugeuka kakuta watu walishajaa ukumbi mzima wametulia wanamsikiliza, jamaa akashindwa kuelewa waliingia sangap nakuweza kukaa bila kusikika hata mnong'ono. makomando bwana acha tu. tushee story mbalmbal za makomando
mmmmhhhh.............
kumbe na wewe ni mjedah!..........ongera sana
sasa wataka kutuaminisha kwamba hawa makomandoo ni wachawi? meaning wana tumia imani zingine?
je kwan jk alipokuja huko kikosin 92 kulitokea maajabu gani?
JK bwana alikaribishwa pale 92 kwenda kuwatembelea makomando. sasa kufika ukumbin alikuta pako empty kabisa hamna mtu akapigwa na butwaa. baada ya kukaa chin kwenye high table ikabd amwuulize yule c.o mbona hamna watu, c.o akamwambia mbona hao wapo, kugeuka kakuta watu walishajaa ukumbi mzima wametulia wanamsikiliza, jamaa akashindwa kuelewa waliingia sangap nakuweza kukaa bila kusikika hata mnong'ono. makomando bwana acha tu. tushee story mbalmbal za makomando
kwann isiwe hongera kwake?Kuwa mjeda ni hongera siku hizi??
We utakuwa sio MTANZANIA, nime-provekwann isiwe hongera kwake?
kwanza ukimwona kijana ni mjeda basi jua %kubwa kaenda shule walau ana kadigrii kamoja
af ujue ana salary na allowance
pia ujue ana security manake hata kukopesheka anakopesheka
utamlinganisha mjeda na mwl mathalan?
Miongoni mwa maajabu yetu ni kama haya
1.Kupaki gari kwa mtindo kama huu tunapokuwa tunafanya mazoezi yetu ili kukwepa wagambo /majembe wasipige msumari...tizama picha ya gari la komamndo.
2.Tunauwezo wa kufanya mazoezi adimu na kujaza msuri wa kikomandoo kama huu ...
3.Tunauwezo wa kuonekana na jinsia mbili kwa wakati mmoja ili kuzua utata tunapokuwa chumbani tukitaka kufanya yetu, cheki picha yangu hapo chini nikiwa na rasta zangu.
4. Tuna uwezo wa kuona mbali kama mnavyoniona hapa nikizuga kumsalmimia huyu while ninafanya yangu.
Uliza kingine.