kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Leo nilikuwa chooni nikatowa haja kubwa
Ambayo ilikuwa mgumu kutoka niliteseka saana kutowa sasa baada ya kutoka nika cheki kinyesi changu Nikaona damu ambayo ipo kwenye kenyesi haikuwa nyingi ni ndogo ilikuwa kama imejipaka kwenye kinyesi
Nini sababu ya ivo
Ambayo ilikuwa mgumu kutoka niliteseka saana kutowa sasa baada ya kutoka nika cheki kinyesi changu Nikaona damu ambayo ipo kwenye kenyesi haikuwa nyingi ni ndogo ilikuwa kama imejipaka kwenye kinyesi
Nini sababu ya ivo
