NINI MAANA YA SUNNAH?

Unaleta udini kwenye jamii isiyoamini dini hiyo, una akili kweli au umechanganyikiwa? Huyo mtume nani anamuamini?
Ukisikia mtu anasema ‘usilete dini kwenye jamii’ huku yeye analeta chuki dhidi ya dini, ujue ana matatizo ya mantiki.
Kama jamii hairuhusu watu kuzungumzia dini, basi kwa nini wewe unaruhusiwa kuikosoa dini hadharani? Uhuru wa kuongea si wa upande mmoja.
Muislamu ana haki ya kueleza Uislamu wake kama ambavyo wengine wana haki ya kueleza mitazamo yao. Tofauti ni kwamba sisi tunaleta hoja, lakini wewe umeleta kejeli na dharau bila hata kujibu mafundisho yenyewe.
Halafu kusema ‘huyo mtume nani anamwamini?’ ni hoja dhaifu sana, maana mabilioni ya watu duniani wanamuamini Muhammad ﷺ na wanamfuata kwa dalili na ushahidi, si kwa mihemko.
Kama una hoja dhidi ya Uislamu leta hoja. Kama huna, basi kejeli haziwezi kubadilisha ukweli.”
 
Huu ni uongo uliotamalaki duniani, mabilioni ya watu wamepumbazika kwa hidithi hizi za kidini, msituletee abrakadabra za kidini hatuzitaki
 
Huu ni uongo uliotamalaki duniani, mabilioni ya watu wamepumbazika kwa hidithi hizi za kidini, msituletee abrakadabra za kidini hatuzitakimbi
Kwani wewe umelazimishwa kuamini Dini mbona unachuki sana hivi unaumia ukiwa wapi!
 
Hahaha unachekesha sana sasa swali gani hilo na halafu unatamba nalo kabisa wakati ni kichekesho
 
Sasa kama ni hivyo mbona kwa mfano tunakula ukimkaribisha anakuambia (nakula kidogo tuu suna)na kweli anaonja alafu anaacha
 
Sasa kama ni hivyo mbona kwa mfano tunakula ukimkaribisha anakuambia (nakula kidogo tuu suna)na kweli anaonja alafu anaacha
Kila mtu ana uhuru wa kujiamulia tu nini kiwe sunna kwake si hata Diamond alisema kujigiji kwao sunna
 
Unaleta udini kwenye jamii isiyoamini dini hiyo, una akili kweli au umechanganyikiwa? Huyo mtume nani anamuamini?


Unaizungumzia jamii gani ambayo haina Waislam hapa? Wewe ni mzima? Unadhani Jf mko makafiri yenu sio?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…