Nini maana ya kutokuwepo kwa fedha za bure?

Nini maana ya kutokuwepo kwa fedha za bure?

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,292
Reaction score
6,772
Hii ni miongoni mwa kauli ambayo inanitatanisha sana, Huwa najiuliza ni Lini katika nchi hii kulikuwa na fedha za bure? Nani alikuwa anazipata? Ulikuwa unatakiwa kufanya nini ili uweze kupata fedha hizo za Bure?

Waungwana hizi fedha za Bure hizi, zinanitatanisha sana? Au ndo kusema hakutakuwa na fedha tu?
 
Gazeti unaishi mkoa upi kamanda maaana Mhe. Anaposema fedha za bure anamaanisha mianya ya kujipatia fedha kwa njia za Ki LUGUMI, ki EPA, ki RICHMOND, Makontena kuyeyuka, na POSHO ZA VIKAO, SEMINA nk zimeondolewa so ile bure bure haipo tena ndugu yangu. Kama unataka kujua hili nenda kwenye viwanja vya starehe kuna ukame wa hatari kaka, Benki misururu imepungua, Uhamisho wa wanafunzi kwenda shule za ada ndogo umeshamiri, kupunguza family size nk.
 
Fedha ambazo watu walikuwa wakizipata kupitia njia haramu na ukwepaji wa kodi
Ndivyo nilivyomwelewa Mh Rais John Pombe Magufuli.
 
TASAF huwa wanagawa fedha za bure, labda ndio zinazozungumziwa.
 
Back
Top Bottom