PreGE2025 Nini Maana Ya kuchapishwa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025

PreGE2025 Nini Maana Ya kuchapishwa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wazo Kuu

Senior Member
Joined
Oct 21, 2018
Posts
119
Reaction score
298
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
 
Katika wakati mbaya wa kuhama chama ni sasa hivi hasa wanao kimbia chama cha demokrasia na maendeleo.
 
Imetangazwa katika gazeti la serikal ikiwa na saini za washiriki. Hiyo tayari ni sheria
 
Hizo kanuni zimekuwepo toka uchaguzi wa 1995, CCM wamekuwa wakivuruga kila chaguzi.
Safari hii wacheni wachanguane wenyewe sisi wanachi hatuna muda wa kupoteza tena...uchaguzi unaisha watu vilema, wamebabikwa kesi na vifo. aacheni wachaguane wenyewe.
No Redorms.. habari ya town.
 
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
Hazina maana maadili gani hayo wakati wahusika ndiyo wanaoongoza kwa kuyavunja huku wakisaidiwa na jeshi la polisi
 
Kila inapofika msimu wa uchaguzi huwa atawala wanajitahidi sana kuwagawa wapinzani. Si mlaumu Dr. Slaa na Lipumba. Kwani wangekuwa pamoja na UKAWA. kazi ilikuwa imeisha. leo tungekuwa na katiba mpya. Lisu ni mpinzani wa kweli si maji taka. ila ndugu zangu wa ACT ndio wanakwenda kufa kabisa. maana hata vijijini walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji. kwa kutaka mabadiliko ya mfumo. Maana walioshinda walishindwa kutangazwa. Tunaitaji mfumo wa mabadiliko kwenye uchaguzi mkuu.
 
Imetangazwa katika gazeti la serikal ikiwa na saini za washiriki. Hiyo tayari ni sheria
Ni sheria kwa mjibu wa kipengere gani cha katiba au panel cod, hizoZinaweza kua challenged katika mahakama kama tungekua nao ilio huru, jambo la kwanza wananchi washirikisashwe kwenye kutunga hizo kanuni za maadili
 
Ni sheria kwa mjibu wa kipengere gani cha katiba au panel cod, hizoZinaweza kua challenged katika mahakama kama tungekua nao ilio huru, jambo la kwanza wananchi washirikisashwe kwenye kutunga hizo kanuni za maadili
Jiepushe kunukuu mambo ya kisheria kama wewe ni lumpen tu, sio member of the noble family/profession, utaaibika
 
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
Ninyi Wahuni mwaka huu hakuna UCHAFUZI. Tutafanya juu chini kuuzuia usifanyike.
 
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
Kwanini kusaini kanuni za maadili kabla ya wagombea kupatikana
Yaani una saini kanuni za wagombea hewa

Signing for a code of conducts for the unknown candidates and not available, similarly to signing for a code of conducts for the unknown nominees, this is strange and crooked
 
Siku hizi sheria zinapitishwa kwa kuchapishwa kwenye gazeti!
Lukuvi alipitisha Nkuhungu broad acre Matuli na Mbwanga Dodoma upimaji wazamani Ufutwe
Wakati vithinitisho(MKATABA)ya Wenyemiliki Kamishina ameita RASIMU

Kama Nchi tunasafari ndefu!!
 
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
Jinga sana wewe!
 
Leo Aprili 18, 2025 Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 zimechapishwa katika Gazeti la Serikali kupitia Tangazo la Serikali Na. 249 la mwaka 2025.

Nini Maana Yake?

Taratibu za Chama cha Siasa kushiriki Uchaguzi Mkuu, kwanza ni kuridhia na kusaini Kanuni za Maadili kabla ya kutolewa kwenye Gazeti la Serikali.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kuchapishwa kwa Kanuni hizo katika Gazeti la Serikali maana yake ni kwamba, Vyama vya Siasa ambavyo Vimetia saini kukubaliana na Maadili hayo ndiyo vitashiriki Uchaguzi Mkuu na Chama cha Siasa ambacho hakijasaini Kanuni hizo kinakosa fursa ya kushiriki Uchaguzi kwa kuwa kinahesabika kama kimeyakataa/hakijaridhia maadili hayo.

Nini Kinaweza Kufanyika?

Kama ambavyo Chama cha ACT Wazalendo leo kimewakaribisha G 55 na wanachama wengine wa CHADEMA wanaotaka kugombea kwenye Uchaguzi Mkuu, fursa pekee iliyosalia ni wanachama wa CHADEMA kutumia fursa ya kujiunga na Vyama vingine kama vile CCM, ACT Wazalendo, CHAUMMA, CUF, NLD na Vyama vingine vilivyokubali kusaini Maadili hayo ya Uchaguzi kwa kuwa hakuna nafasi nyingine kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Mkuu na Chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza katika kipindi cha mwaka 2025 hadi 2030.
Umetumwa?
 
Back
Top Bottom