Nini maana ya Kambi ya Upinzani?

Nini maana ya Kambi ya Upinzani?

free prisoner

Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
15
Reaction score
11
Siku moja nilimuuliza swali mheshimiwa mmoja: Kwanini ulikuwa unasimama jukwaani na kusema CCM matumbo ya Tembo yanameza kila kitu na hawashibi, wamemaliza nchi kwa matumbo yao makubwa yasioshiba, na sasa katika kipindi hiki cha awamu ya tano ya tumbua tumbua unasema watu wananyanyasika hakuna utawala wa sheria watumishi hawatendewi haki wanafukuzwa hovyo?

Nikakamuuliza tena: Mbona sasa unawatetea wale wenye matumbo ya tembo sasa wewe upo upande gani? Akanijibu: Huo ndio upinzani; tukianza kusifu si upinzani hautakuwepo?

Hapo nilichoka kabisa; kumbe wananchi tunayumbishwa kwa sitaili hii.

WANANCHI TUCHUKUE TAHADHARI NA KAULI ZA WANASIASA (SIKILIZA OGEZA NA ZA KWAKO)
 
Bunge lijalo watakuwa wanaitwa waliowachache bungeni labda watapunguza kutukana
 
Hakuna chama Cha kuishinda CCM au mgombea wakushinda uchaguzi kinyume na wa CCM, hajazaliwa bado
Kuna msemo wa wahenga unaeleza ya kwamba, ngoma ikivuma sana hukaribia kupasuka. Usijiamini sana lolote lile laweza kutokea ndani ya chama tawala.
 
Back
Top Bottom