Elimu bure toka chekeachea hadi F IV ni moja ya ahadi za Mh Rais,Dr John Magufuli. Kipindi hiki cha mwisho wa mwaka shule zinaandikisha wanafunzi wapya kwa ngazi mbalimbali za elimu.
Ndugu yangu amemwandikisha std 1 mtoto wake wa miaka 6,shule ya msingi Kwaang'w,Halmashauri ya Mji,Babati. Huyu mzazi na wazazi wengine wamelipishwa pesa kama sharti muhimu mwanao kuandikishwa.
1: Sh 10,000 dawati
2: Sh 2,000 maji/mwezi
3: sh 2,000 mlinzi/mwezi
Amepewa risiti ya malipo hayo. Waalimu wamewaambi wazazi kuwa haiwezekani bure kiuhalisia,labda kwenye majukwaa ya siasa.
Ndugu yangu amemwandikisha std 1 mtoto wake wa miaka 6,shule ya msingi Kwaang'w,Halmashauri ya Mji,Babati. Huyu mzazi na wazazi wengine wamelipishwa pesa kama sharti muhimu mwanao kuandikishwa.
1: Sh 10,000 dawati
2: Sh 2,000 maji/mwezi
3: sh 2,000 mlinzi/mwezi
Amepewa risiti ya malipo hayo. Waalimu wamewaambi wazazi kuwa haiwezekani bure kiuhalisia,labda kwenye majukwaa ya siasa.