CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
heshima mbele wanaMMU, Huwa nasikia huu msemo kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, naomba ufafanuzi
heshima mbele wanaMMU, Huwa nasikia huu msemo kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie, naomba ufafanuzi
HorsePower kwani hakuna wanaume wanaotembea na wake za rafiki zao? kwan mwanaume hawezi kuwa na hizo tabia?
CL,
ni kweli..... Mfano mdogo angalia mashosti wanavyovurugana....
Ikija kwenye biashara /kazi wanawake hawasaidiani kivile....hupenda kuharibiana...
Majunhu na umbea walaahhhhh wanaweza kukuharinia hivi hivi....
Nimetoaa mifano michache nimechoka kutype
Anaweza kuwa nazo, ila we si umeulizia wanawake?
Inawezekana Percent yao ni kubwa zaidi kuliko wanaume!mbona huu usemi ume-base kwa wanawake tu? kwanini wasiseme "adui wa mwanaume ni mwanaume mwenzie"
Nimekumbuka msemo wa mkapa! "Wivu wa kike"
Nafikiri ni kwa sababu matukio mengi huonyesha wanawake baadhi hutendwa na wanawake wenzao! Mfano: Kuibiana wanaume, Ugomvi wa mawifi, kupeana ushauri mbaya wa kumgombanisha mwanamke na mumewe, kubaniana kwenye kazi (bosi wa kike kumbania mwanamke mwenzake), wivu, tamaa, nk.
Lakini ngoja niache nafasi kwa wataalam waamke kuja kuchangia ....