Nini kitatokea endapo Magufuli atajiongezea muda wa kukaa madarakani?

Boss TumainiEl Hizo lazima zitakuwa ni TAMAA ZA KIBINADAMU.
Yaani ina maana CCM hawana Mtu mwenye SIFA za kuwa Rais???!!!
Je, WaTanzania tupo zaidi ya 50m kwa sasa, Ina maana hakuna Mtu yoyote mwenye SIFA za kuwa RAIS???!!!
Yaani kuna mambo yanatia AIBU kwa kweli,
Usikute wewe umetumwa kupima Upepo.


Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.

Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?

Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.

Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.

Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?

Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
 
Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.

Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?

Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.

Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.

Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?

Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Halafu nyie nyie baada ya miaka 20 ijayo mtaanza kulalamika kama waliomlalamikia Mugabe.
Ongezeni tu miaka na baada ya hapo mtawaliwe kwa miaka 30 na Rais wa dizani ya "Idd Amini" akili ziwarudie.
Msibadili sheria kwa kumuangalia mtu kwani kuna siku mtapata kiongozi mbaya na mtajuta.
Waliosema "justice is blind" sio wapumbavu.
Yakitokea kama hayo tutaanza kukukaanga wewe na wajinga wenzio.
Walioweka ukomo wa madaraka hawakuwa wapuuzi.
Kwa taarifa yako. Angalia historia.
Hakuna kiongozi aliyejiongezea ukomo wa madaraka aliyeishia vizuri.
 
Wapo watakao mpinga, ambao wataishia mikononi mwenu na roho zao mtaziondoa kwa namna mnayoona inafaa. Magufuli ataendelea kuwa madarakani kama Kagame,m7,nkurunzinza na roho mtakazo zitwaa zitaacha wategemezi.
 
Wataandamana ili yale ya huyu jamaa wa Khartoum yaje na hapa ili iwe kama hivi.
View attachment 1077650
Hivi Huyu jamaa intelijensia yake ilikuwa imelala mpaka kukamatwa kama kuku na midola yote ile? Kwanini asingesepa kabla na kwenda hata Iran huko kwa rafiki zake?Ukiwa dikteta lazima ujiandae mapema ili likitokea la kutokea uondoke mapema!
 
Lazima ataongeza muda,,kisha tutalalamika kwenye mitandao ya kijamii kama miezi mitatu hivi.

Watakua washa andaa snema flani kuubwa sana,kisha wataiachia,

Tunaamishia mada kwenye hiyo snema mpya Kali kuliko zote,
Hapo sasa watatoa tena snema nyungine tena ndogo mbili

Mchezo utakua umekwisha,
 
Rais wetu ameshalifafanua hili Tayari. maelezo yake yalijitosheleza.
 
Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.

Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?

Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.

Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.

Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?

Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Takataka
 
Magufuli sio mroho wa madaraka Kama unavyojaribu kutuaminisha
Ovaa
hujakosea ikiwezekana
tapatalk_1500201109326.gif
 
Kwa nchi hii na kizazi chetu hiki chenye hofu, hakuna kitakachotokea zaidi ya malalamiko mtandaoni na mikwara ya maandamano tu; ila kwa nchi hii hii kuna kizazi kitakachokuja kitapinga na kutunisha msuli.
 
Mkuu mm naona mtukufu wetu aendelea mpk atakapokamilika miradi mikubwa aliyoianzisha
Kama ujenzi wa bwawa la umeme Stglers Goji
Ma fly over
Ujenzi wa reli ya kisasa
Ndege
Maviwanda nk akikamilisha basi apo apokee mwingine maana anatoka atakaye kuja ataachana na hivi vipaumbele muhimu kwa maendeleo ya taifa
 
Back
Top Bottom