Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,319
- 4,355
Never underestimate unhappy citizensMtaandamana wapi, ufipa?
Never underestimate unhappy citizensMtaandamana wapi, ufipa?
Kwenda zako huko na kizungu chako cha ugoko.Never underestimate unhappy citizens
Jamani siamini yani mambo ya Omar Al bashir yamefikia hapa au Hii ni photoshop siamini mwenzenu niko hospital cyajui mengiWana macho lkn hawaoni, huyu ni wiki moja tu alikuwa ikulu akipepewa viyoyozi leo ananyea debe.
View attachment 1077645
AsanteKwenda zako huko na kizungu chako cha ugoko.
Hamna tabu.Asante
Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.
Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?
Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.
Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.
Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?
Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Halafu nyie nyie baada ya miaka 20 ijayo mtaanza kulalamika kama waliomlalamikia Mugabe.Samahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.
Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?
Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.
Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.
Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?
Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
Hivi Huyu jamaa intelijensia yake ilikuwa imelala mpaka kukamatwa kama kuku na midola yote ile? Kwanini asingesepa kabla na kwenda hata Iran huko kwa rafiki zake?Ukiwa dikteta lazima ujiandae mapema ili likitokea la kutokea uondoke mapema!Wataandamana ili yale ya huyu jamaa wa Khartoum yaje na hapa ili iwe kama hivi.
View attachment 1077650
Keep joking brooh...keep on....Mtaandamana wapi, ufipa?
TakatakaSamahan kwa wale naweza kuwakwaza. Ila nilikuwa naomba tujiongeze ktk jambo moja ambalo kwa macho ya mbali ningependa tulitafakari.
Mh Rais kwa speed anakimbiza nikama 2020 ccm ikalamba viti vingi vya ubunge kupita wakati wote na jambo la hatari zaid Uwenda wana ccm kwa umoja wao pale bungen baada ya mabadiliko fulan wanaweza kusema ndiooooooo muda wa mkuu kuongezwa je nini kitatokea?
Ikumbukwe mwenyekiti ccm ndio Rais na ndie anapitisha Majina yote ya wateule hivyo sidhan kama litapita Jina mfu lazima ulambe kiatu cha mwenyekiti.
Mkuu anaujuwa mfumo na zipo projects Uwenda kama asipo maliza zitaleta maafa makubwa sana maana watakao kuja watazipiga chini.
Embu tutafakari nini kitatokea na mbaya zaid itakuwaje kama mkakati utakuwa mwanzon mwa term yake ya pili?
Rais amesema hana mpango wakuendelea kuongoza baada ya ten years je wandani wake watamuelewa ama wanapiga kimya walianzishe baada ya kuingia term ya pili?
hujakosea ikiwezekanaMagufuli sio mroho wa madaraka Kama unavyojaribu kutuaminisha
Ovaa
kuwa na macho ya mbali soma mada toa wazo kwa masilahi ya taifaKwa lipi hasa alilolifanya?