Nini kitafuata baada ya Uchaguzi Mkuu 2020? Speculations...

Nini kitafuata baada ya Uchaguzi Mkuu 2020? Speculations...

S.M.P2503

Platinum Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
3,448
Reaction score
6,479
Yafuatayo yatafuata ndani ya miaka mitano ijayo 2020-2025.

1. Madeni yahusianayo na miradi mikubwa ya maendeleo kuwaelemea Watanzania. Miradi hiyo kukwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo Riba au kutokukopesheka.

1a. Kuwalalamikia wapinzani kama chanzo cha kukwama miradi hiyo ilihali kila kitu ni CCM.

1b. Kutokujua ni nani haswa ni mchawi wa matatizo yetu kama taifa.

2. Watu kutokuwa na furaha kila pembe ya nchi na akili kuwarudia na kujua ni haswa chanzo cha kutokuwa na furaha.

3. Vitendo vya kiuhalifu kuongezeka kila sehemu ya Tanzania mara 1 zaidi ya sasa.

4. Jumuia ya kimataifa either kutuacha tupambane na hali zetu hadi akili zituingie au kuja kuokoa jahazi kwa masharti maalum.

4a. Mabeberu kukubalika rasmi bila mkwaruzo kama nguchiro na kichuguu kuishi nyumba moja.

5. CCM kukubali kiaina makosa ya wizi wa kura na kunyoosha mikono mambo yakiwa si mambo.

6. Revolution ya wananchi bila kupitia njia za vyama vya siasa au utaratibu mwingine uliowekwa kisheria. Njia zozote zile zitakuwa ni hiari ya mhusika anayezitaka kwa mfano wa Tunisia.

7. Mauaji na kutekwa kuwa kitu cha kawaida kwa wapinga CCM na vibaraka wake

8. Kutafutwa (kwa udi na uvumba) wa national unity bila mafanikio kwa style ya Libya au Kenya.

9. Maisha mfamo wa Zimbabwe kuja Tanzania kwa sababu mbalimbali ikiwemo vikwazo na kutengwa kwa serikali itayoundwa

10. Supportes wa CCM (polisi, JW, na wengineo ) kulianzisha mara maji yakiwafika shingoni.

11. Ongezea mengineyo

12. Povu ruksa bila ushabiki
 
Kiufupi mimi upande mmoja nimehuzunika ila upande wa pili nimefurahi. Siku zote watanzania tulio wengi ni matomaso hatuamini mpaka tuone sasa umefika wakati wa kushuhudia ubaya wa hili jambo na si muda mrefu majibu tutayapata.
 
Kiufupi mimi upande mmoja nimehuzunika ila upande wa pili nimefurahi. siku zote watanzania tulio wengi ni matomaso hatuamini mpaka tuone sasa umefika wakati wa kushuhudia ubaya wa hili jambo na si muda mrefu majibu tutayapata.
Majibu lazima yaje tu, tukianza kupigika ndio tutaanza kutafutana.
 
Kiufupi mimi upande mmoja nimehuzunika ila upande wa pili nimefurahi..siku zote watanzania tulio wengi ni matomaso hatuamini mpaka tuone sasa umefika wakati wa kushuhudia ubaya wa hili jambo na si muda mrefu majibu tutayapata.
Nakazia, nipo hapa kushuhudia watu wakilimia meno.
 
Hayo mabaya hayatupata sisi wala watoto wetu
 
Hayo mabaya hayatupata sisi wala watoto wetu
Ndoto za mchana, kama ulisha wahi kukopa sehemu na ukashindwa kulipa, utajua tu maana halisi ya uchaguzi huu.. ni muda tu 2020-2025 sio mbali ki vile
 
Yafuatayo yatafuata ndani ya miaka mitano ijayo 2020-2025.

1. Madeni yahusianayo na miradi mikubwa ya maendeleo kuwaelemea Watanzania. Miradi hiyo kukwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo Riba au kutokukopesheka...
Maisha yataendelea kama ilivyokuwa mwaka 2015,wala hakutakuwa na jipya.
 
Maisha lazima yaendelee, ingawa patatokea changamoto za wanaharakati, watu kunyamazishwa na mikwara ya hapa na pale kutoka kwa nchi wahisani.
 
Maisha lazima yaendelee, ingawa patatokea changamoto za wanaharakati, watu kunyamazishwa na mikwara ya hapa na pale kutoka kwa nchi wahisani.
Hata bila ya wahisani, uhasama wa ndani utazidi sana chini ya utawala wa ccm wa 100 per cent
 
Hata bila ya wahisani, uhasama wa ndani utazidi sana chini ya utawala wa ccm wa 100 per cent
I'm sure ccm itakuja kuoasuliwa na mpinzani atakaetokea ndani ya CCM. Na atakae idhoofusha na kuimaliza ccm hato kubali kuhama ndani ya CCM.
 
Yafuatayo yatafuata ndani ya miaka mitano ijayo 2020-2025.

1. Madeni yahusianayo na miradi mikubwa ya maendeleo kuwaelemea Watanzania. Miradi hiyo kukwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo Riba au kutokukopesheka.

1a. Kuwalalamikia wapinzani kama chanzo cha kukwama miradi hiyo ilihali kila kitu ni CCM.

1b. Kutokujua ni nani haswa ni mchawi wa matatizo yetu kama taifa.

2. Watu kutokuwa na furaha kila pembe ya nchi na akili kuwarudia na kujua ni haswa chanzo cha kutokuwa na furaha.

3. Vitendo vya kiuhalifu kuongezeka kila sehemu ya Tanzania mara 1 zaidi ya sasa.

4. Jumuia ya kimataifa either kutuacha tupambane na hali zetu hadi akili zituingie au kuja kuokoa jahazi kwa masharti maalum.

4a. Mabeberu kukubalika rasmi bila mkwaruzo kama nguchiro na kichuguu kuishi nyumba moja.

5. CCM kukubali kiaina makosa ya wizi wa kura na kunyoosha mikono mambo yakiwa si mambo.

6. Revolution ya wananchi bila kupitia njia za vyama vya siasa au utaratibu mwingine uliowekwa kisheria. Njia zozote zile zitakuwa ni hiari ya mhusika anayezitaka kwa mfano wa Tunisia.

7. Mauaji na kutekwa kuwa kitu cha kawaida kwa wapinga CCM na vibaraka wake

8. Kutafutwa (kwa udi na uvumba) wa national unity bila mafanikio kwa style ya Libya au Kenya.

9. Maisha mfamo wa Zimbabwe kuja Tanzania kwa sababu mbalimbali ikiwemo vikwazo na kutengwa kwa serikali itayoundwa

10. Supportes wa CCM (polisi, JW, na wengineo ) kulianzisha mara maji yakiwafika shingoni.

11. Ongezea mengineyo

12. Povu ruksa bila ushabiki
Oya point mwisho 6 , we vipi jamaa wa history😂😂😂
 
Ninachomshukuru Mungu nimetimiza wajibu wangu wa kupiga kura ...inanipa amani moyoni hata kama imeibwa...lkn nimepiga.

Kuteseka tutateseka ila kura yangu haitakuwa chanzo cha mateso ya watanzania wenzangu na mimi

I did my part
 
Back
Top Bottom