Nini kinawaleta wabunge pamoja???

Kukuwazabanga

Member
Jan 12, 2017
19
178
Wabunge wajitathmini tuliwachagua sisi....na tutawaondoa sisi.....

Mwenye kiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge amewaambia waandishi kuwa wao wamemhoji Makonda kwa agizo la Spika. Hivyo Spika alikubaliana na maazimio ya kikao cha bunge.

Azimio hili likipitishwa Mkiti Mtu alikuwa Chenge. Chenge ambaye wote tunamkumbuka kwa kashfa ya Rada na mikataba mibovu ya madini. Almaarufu mzee wa vijisenti.

Lakini tujiulize kulikoni? Yaani Spika na Kamati na wabunge waliotaka Makonda ahojiwe kwa kuwa tu kasema wanasinzia bungeni!!! Hapana hili ni jibu jepesi sana.

Wabunge hawakuona umuhimu wa kumhoji aliyedai mkuu wa nchi atakufa? Anayetoa maneno ya uhaini anabaki salama. Lakini anayesema wabunge wanalala bungeni anahojiwa. Hili ndilo bunge letu. Wabunge hawa wa CCM hawajahoji wabunge wenzao wanaodai naibu spika hafai!!! Bunge halikuona umuhimu wa kumhoji Spika aliposema kuna baadhi ya wabunge wanaovuta bange!!! Hivi anayekwambia unasinzia na anayekwambia hufai au unavuta bangi nani kakuvunjia heshima zaidi????

Hivi Makonda kadanganya? Wabunge ni kweli wanasinzia!!! Na picha na video za wao wakiwa wansuchapa usingizi bungeni zipo!

Lakini bunge na Spika wetu wameona la kusinzia ambalo ushahidi upo ndio kudharau bunge! Nadhani "mshtakiwa" ana kazi nyepesi mno kuthibitisha wabunge huwa wanasinzia!!!

Nimkumbushe tu mmoja wa wabunge alipouchapa usingizi wa pono aliulizwa na alijibu eti alikuwa anatafakari!!

Naamini kwa dhati kabisa nyuma ya juhudi hizi za bunge letu kutembelea Clouds na kumhoji aliyesema ukweli kuwa huwa wanasinzia bungeni kuna nguvu za giza. Zisiachwe zikashinda maana taifa litaangamia. Na wapiga kura haswa ndani ya CCM nadhani mnawaona wasaliti wa Taifa! Tuwasubiri 2020 tuwaadabishe!

Mwisho niwaulize wasomaji wote Makonda alikuwa kipenzi cha wabunge wa CCM sana. Mbona mapenzi yamekufa baada ya yeye kuanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Swali la pili upinzani ulimkataa peupe Naibu Spika Tulia wa CCM. Bunge likagawanyika kwa hoja hiyo? Iweje hoja ya mtu anayepambana na madawa ya kulevya iwalete wabunge hawa pamoja???? NINI KINAWALETA PAMOJA???
 
Mkuu swala la kucnzia kwa wabunge li wazi kabisa, Makonda kagusa maslahi yao ndio maana zengwe haziishi, hujaona hata Waziri flani aliyetumbuliwa aliamua kuisaliti Serikali kisa haohao..tuendelee kuona tu maana yatakuja mengi mnooo
 
Yaani watz wajinga sana embu niambie huyo makonda kafanikiwa nn na hiyo vita uchwara ya bange. Kuwataja matajiri ili achukue magari yao.
1.gwajima alimuweka ili amchafue asijegombea jimbo la huko kwao.
2.Manji ni beef na mkuu
3.Mbowe ni kutaka kuua upinzani kwa kuwabambikia kesi uchwara.
4.wale matajiri watatu tanga petrol etc ili kujinufaisha maana anaendesha magari yao.
5.Cha maana amehangaika na mateja ambao KALAPINA ameyafanya haya for almost 6 years. Mbona huyu hamjampa credits za kutosha!! Maana kapigania kweli mateja waache.
5.eti haya majina tumeyachunguza for 10 years...it means kale katoto TUNDA kalikuwa kana miaka 6 sijui na huyo bashite alikuwa Kolomije.
Msijifiche nyuma ya pazia la madawa ya kulevya.
Alete vyeti/why avamie kituo/why mlinzi wake amuonyeshe Nape bastola??
 
Siku zote kinachowaleta wabunge pamoja huwa ni maslah binafsi.....mengine yoote ni porojo.
 
Wabunge wajitathmini tuliwachagua sisi....na tutawaondoa sisi.....

Mwenye kiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge amewaambia waandishi kuwa wao wamemhoji Makonda kwa agizo la Spika. Hivyo Spika alikubaliana na maazimio ya kikao cha bunge.

Azimio hili likipitishwa Mkiti Mtu alikuwa Chenge. Chenge ambaye wote tunamkumbuka kwa kashfa ya Rada na mikataba mibovu ya madini. Almaarufu mzee wa vijisenti.

Lakini tujiulize kulikoni? Yaani Spika na Kamati na wabunge waliotaka Makonda ahojiwe kwa kuwa tu kasema wanasinzia bungeni!!! Hapana hili ni jibu jepesi sana.

Wabunge hawakuona umuhimu wa kumhoji aliyedai mkuu wa nchi atakufa? Anayetoa maneno ya uhaini anabaki salama. Lakini anayesema wabunge wanalala bungeni anahojiwa. Hili ndilo bunge letu. Wabunge hawa wa CCM hawajahoji wabunge wenzao wanaodai naibu spika hafai!!! Bunge halikuona umuhimu wa kumhoji Spika aliposema kuna baadhi ya wabunge wanaovuta bange!!! Hivi anayekwambia unasinzia na anayekwambia hufai au unavuta bangi nani kakuvunjia heshima zaidi????

Hivi Makonda kadanganya? Wabunge ni kweli wanasinzia!!! Na picha na video za wao wakiwa wansuchapa usingizi bungeni zipo!

Lakini bunge na Spika wetu wameona la kusinzia ambalo ushahidi upo ndio kudharau bunge! Nadhani "mshtakiwa" ana kazi nyepesi mno kuthibitisha wabunge huwa wanasinzia!!!

Nimkumbushe tu mmoja wa wabunge alipouchapa usingizi wa pono aliulizwa na alijibu eti alikuwa anatafakari!!

Naamini kwa dhati kabisa nyuma ya juhudi hizi za bunge letu kutembelea Clouds na kumhoji aliyesema ukweli kuwa huwa wanasinzia bungeni kuna nguvu za giza. Zisiachwe zikashinda maana taifa litaangamia. Na wapiga kura haswa ndani ya CCM nadhani mnawaona wasaliti wa Taifa! Tuwasubiri 2020 tuwaadabishe!

Mwisho niwaulize wasomaji wote Makonda alikuwa kipenzi cha wabunge wa CCM sana. Mbona mapenzi yamekufa baada ya yeye kuanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Swali la pili upinzani ulimkataa peupe Naibu Spika Tulia wa CCM. Bunge likagawanyika kwa hoja hiyo? Iweje hoja ya mtu anayepambana na madawa ya kulevya iwalete wabunge hawa pamoja???? NINI KINAWALETA PAMOJA???
Mleta mada nakushukuru ila ningependa ukumbuke kwamba katika uchaguzi uliopita kulikuwa na ushahidi kwamba haukuwa huru na haki. Tunakumbuka hata hoja zilitolewa kwamba tawala haziwezi kubadilishwa na kipande cha karatasi ikimaanisha kwamba sio kura huwa zinaamua. Sasa kwa hili kubadilisha hata wabunge yatabaki tu maoni mazuri ambayo hayatimii. Cha muhimu ni kubadilisha katiba. Nitaona vizuri wakati wabunge watalichukulia hili kipau mbele. Vinginevyo hata hamna haja ya kupiga kura sababu maamuzi si ya wananchi bali wenyenchi.
 
Wabunge wajitathmini tuliwachagua sisi....na tutawaondoa sisi.....

Mwenye kiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge amewaambia waandishi kuwa wao wamemhoji Makonda kwa agizo la Spika. Hivyo Spika alikubaliana na maazimio ya kikao cha bunge.

Azimio hili likipitishwa Mkiti Mtu alikuwa Chenge. Chenge ambaye wote tunamkumbuka kwa kashfa ya Rada na mikataba mibovu ya madini. Almaarufu mzee wa vijisenti.

Lakini tujiulize kulikoni? Yaani Spika na Kamati na wabunge waliotaka Makonda ahojiwe kwa kuwa tu kasema wanasinzia bungeni!!! Hapana hili ni jibu jepesi sana.

Wabunge hawakuona umuhimu wa kumhoji aliyedai mkuu wa nchi atakufa? Anayetoa maneno ya uhaini anabaki salama. Lakini anayesema wabunge wanalala bungeni anahojiwa. Hili ndilo bunge letu. Wabunge hawa wa CCM hawajahoji wabunge wenzao wanaodai naibu spika hafai!!! Bunge halikuona umuhimu wa kumhoji Spika aliposema kuna baadhi ya wabunge wanaovuta bange!!! Hivi anayekwambia unasinzia na anayekwambia hufai au unavuta bangi nani kakuvunjia heshima zaidi????

Hivi Makonda kadanganya? Wabunge ni kweli wanasinzia!!! Na picha na video za wao wakiwa wansuchapa usingizi bungeni zipo!

Lakini bunge na Spika wetu wameona la kusinzia ambalo ushahidi upo ndio kudharau bunge! Nadhani "mshtakiwa" ana kazi nyepesi mno kuthibitisha wabunge huwa wanasinzia!!!

Nimkumbushe tu mmoja wa wabunge alipouchapa usingizi wa pono aliulizwa na alijibu eti alikuwa anatafakari!!

Naamini kwa dhati kabisa nyuma ya juhudi hizi za bunge letu kutembelea Clouds na kumhoji aliyesema ukweli kuwa huwa wanasinzia bungeni kuna nguvu za giza. Zisiachwe zikashinda maana taifa litaangamia. Na wapiga kura haswa ndani ya CCM nadhani mnawaona wasaliti wa Taifa! Tuwasubiri 2020 tuwaadabishe!

Mwisho niwaulize wasomaji wote Makonda alikuwa kipenzi cha wabunge wa CCM sana. Mbona mapenzi yamekufa baada ya yeye kuanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Swali la pili upinzani ulimkataa peupe Naibu Spika Tulia wa CCM. Bunge likagawanyika kwa hoja hiyo? Iweje hoja ya mtu anayepambana na madawa ya kulevya iwalete wabunge hawa pamoja???? NINI KINAWALETA PAMOJA???


Daudi Bashite team kazini, pole mkuu kama umeumia Bashite kuhojiwa lakini ningedhani mama watoto wake ndio angeumia, sikutegemea hata wewe ungeumia. Bado kuhojiwa kuhusu vyeti, inanabidi ahojiwe. Pole tena mkuu kwa ku umia.
 
Mkuu unaonyesha kufurahia kugawanyika kwa wabunge kwa manufaa ya wachache. Bunge ni lazima liwe kitu kimoja ili liweze kuisimamia serikali ipasavyo. Mara nyingi imetumika turufu ya itikadi za kichama ili kuvuruga umoja bungeni na hivyo kupitisha miswada yenye vifungu vya sheria ambavyo leo baadhi yake vinatutafuna kwenye mikataba ya madini. ni kweli RC makonda amethubutu kwenye suala la madawa, lakini hiyo haiwezi kuwa kinga ya yy kuvunja sheria.
 
Unashare JF Account na @ Cocochanel au Ni mtu mmoja?

Makonda Oyeee( ujingaje)

Ha ha haaaaaaaa

Mbona yamewashinda ya kumsingizia Mh. Makonda, kiongozi jembe sasa mnageuka kusingizia wadau wa humu.

Mimi nipo mwenyewe na sina haja ya kundi, zaidi ya sisi kusomana humu.

Nimefurahi umeandika pia

Makonda oyeeeeee

Ha ha haaa usingekuwa nawe mjinga husingeandika. Ha ha haaaaa
 
Wabunge wajitathmini tuliwachagua sisi....na tutawaondoa sisi.....

Mwenye kiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge amewaambia waandishi kuwa wao wamemhoji Makonda kwa agizo la Spika. Hivyo Spika alikubaliana na maazimio ya kikao cha bunge.

Azimio hili likipitishwa Mkiti Mtu alikuwa Chenge. Chenge ambaye wote tunamkumbuka kwa kashfa ya Rada na mikataba mibovu ya madini. Almaarufu mzee wa vijisenti.

Lakini tujiulize kulikoni? Yaani Spika na Kamati na wabunge waliotaka Makonda ahojiwe kwa kuwa tu kasema wanasinzia bungeni!!! Hapana hili ni jibu jepesi sana.

Wabunge hawakuona umuhimu wa kumhoji aliyedai mkuu wa nchi atakufa? Anayetoa maneno ya uhaini anabaki salama. Lakini anayesema wabunge wanalala bungeni anahojiwa. Hili ndilo bunge letu. Wabunge hawa wa CCM hawajahoji wabunge wenzao wanaodai naibu spika hafai!!! Bunge halikuona umuhimu wa kumhoji Spika aliposema kuna baadhi ya wabunge wanaovuta bange!!! Hivi anayekwambia unasinzia na anayekwambia hufai au unavuta bangi nani kakuvunjia heshima zaidi????

Hivi Makonda kadanganya? Wabunge ni kweli wanasinzia!!! Na picha na video za wao wakiwa wansuchapa usingizi bungeni zipo!

Lakini bunge na Spika wetu wameona la kusinzia ambalo ushahidi upo ndio kudharau bunge! Nadhani "mshtakiwa" ana kazi nyepesi mno kuthibitisha wabunge huwa wanasinzia!!!

Nimkumbushe tu mmoja wa wabunge alipouchapa usingizi wa pono aliulizwa na alijibu eti alikuwa anatafakari!!

Naamini kwa dhati kabisa nyuma ya juhudi hizi za bunge letu kutembelea Clouds na kumhoji aliyesema ukweli kuwa huwa wanasinzia bungeni kuna nguvu za giza. Zisiachwe zikashinda maana taifa litaangamia. Na wapiga kura haswa ndani ya CCM nadhani mnawaona wasaliti wa Taifa! Tuwasubiri 2020 tuwaadabishe!

Mwisho niwaulize wasomaji wote Makonda alikuwa kipenzi cha wabunge wa CCM sana. Mbona mapenzi yamekufa baada ya yeye kuanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Swali la pili upinzani ulimkataa peupe Naibu Spika Tulia wa CCM. Bunge likagawanyika kwa hoja hiyo? Iweje hoja ya mtu anayepambana na madawa ya kulevya iwalete wabunge hawa pamoja???? NINI KINAWALETA PAMOJA???
hivi wewe ulisoma hadi darasa la ngapi vile, maana unachokiandika sina uhakika kama unaelewa kinachoendelea
 
Wabunge wajitathmini tuliwachagua sisi....na tutawaondoa sisi.....

Mwenye kiti wa Kamati ya Maadili ya Bunge amewaambia waandishi kuwa wao wamemhoji Makonda kwa agizo la Spika. Hivyo Spika alikubaliana na maazimio ya kikao cha bunge.

Azimio hili likipitishwa Mkiti Mtu alikuwa Chenge. Chenge ambaye wote tunamkumbuka kwa kashfa ya Rada na mikataba mibovu ya madini. Almaarufu mzee wa vijisenti.

Lakini tujiulize kulikoni? Yaani Spika na Kamati na wabunge waliotaka Makonda ahojiwe kwa kuwa tu kasema wanasinzia bungeni!!! Hapana hili ni jibu jepesi sana.

Wabunge hawakuona umuhimu wa kumhoji aliyedai mkuu wa nchi atakufa? Anayetoa maneno ya uhaini anabaki salama. Lakini anayesema wabunge wanalala bungeni anahojiwa. Hili ndilo bunge letu. Wabunge hawa wa CCM hawajahoji wabunge wenzao wanaodai naibu spika hafai!!! Bunge halikuona umuhimu wa kumhoji Spika aliposema kuna baadhi ya wabunge wanaovuta bange!!! Hivi anayekwambia unasinzia na anayekwambia hufai au unavuta bangi nani kakuvunjia heshima zaidi????

Hivi Makonda kadanganya? Wabunge ni kweli wanasinzia!!! Na picha na video za wao wakiwa wansuchapa usingizi bungeni zipo!

Lakini bunge na Spika wetu wameona la kusinzia ambalo ushahidi upo ndio kudharau bunge! Nadhani "mshtakiwa" ana kazi nyepesi mno kuthibitisha wabunge huwa wanasinzia!!!

Nimkumbushe tu mmoja wa wabunge alipouchapa usingizi wa pono aliulizwa na alijibu eti alikuwa anatafakari!!

Naamini kwa dhati kabisa nyuma ya juhudi hizi za bunge letu kutembelea Clouds na kumhoji aliyesema ukweli kuwa huwa wanasinzia bungeni kuna nguvu za giza. Zisiachwe zikashinda maana taifa litaangamia. Na wapiga kura haswa ndani ya CCM nadhani mnawaona wasaliti wa Taifa! Tuwasubiri 2020 tuwaadabishe!

Mwisho niwaulize wasomaji wote Makonda alikuwa kipenzi cha wabunge wa CCM sana. Mbona mapenzi yamekufa baada ya yeye kuanzisha vita dhidi ya madawa ya kulevya?

Swali la pili upinzani ulimkataa peupe Naibu Spika Tulia wa CCM. Bunge likagawanyika kwa hoja hiyo? Iweje hoja ya mtu anayepambana na madawa ya kulevya iwalete wabunge hawa pamoja???? NINI KINAWALETA PAMOJA???
UMOJA.
 
Back
Top Bottom