moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Shirikisho letu la mpira Tanzania limekuwa la Ajabu sana jamani nini kinatusibu Tanzania jamani??
Naona Mauza uza tu
Naona Mauza uza tu
Yapi Mkuu?Shirikisho letu la mpira Tanzania limekuwa la Ajabu sana jamani nini kinatusibu Tanzania jamani??
Naona Mauza uza tu
Ktk wanafiki waliomkataa Manji pale Yanga nawe ni mmojawapo,kilichopo tff ndio kilichopo Yanga kwa ss,kawaulizie wachumia tumbo wenzio ndio watakujibu hii taka taka yakoShirikisho letu la mpira Tanzania limekuwa la Ajabu sana jamani nini kinatusibu Tanzania jamani??
Naona Mauza uza tu
Ktk wanafiki waliomkataa Manji pale Yanga nawe ni mmojawapo,kilichopo tff ndio kilichopo Yanga kwa ss,kawaulizie wachumia tumbo wenzio ndio watakujibu hii taka taka yako
Yanga aikodishwi sawa,nendeni ss mkawalipe mishahara wale wachezaji!Katika wanafiki wasiojulikana lakini Wapo ni wewe
Unanipa ufalume wa kumkataa manji Ila waliomshauri manji Yanga inakodishwa umewaona ni wana wa Mungu
Naongele Move ya Titanic TFF
Wewe unaleta ya Manji
Ni moja ya marazi tuliokuwa nayo katika Taifa letu haya
Nani kawambia wachezaji wanadai mishahara maneno yenu ya mtaani hayoYanga aikodishwi sawa,nendeni ss mkawalipe mishahara wale wachezaji!
We jamaa mirembe inakuhusu!acha tutawalie cku yake Yanga itakua ya manji na ndio utakua mwisho wenu mnaoishi mjini kwa kuitegemea YangaNani kawambia wachezaji wanadai mishahara maneno yenu ya mtaani hayo
Munadanganyana
Hakuna mchezaji anaeidai Yanga hata mmoja
Ila mtaambiwa wachezaji wanadai ili muzidi tawaliwa
Munadanganyana tu Manji hawezi rudi Yanga hata siku moja imebakiwa history tu kama viongozi wengine waliopita YangaWe jamaa mirembe inakuhusu!acha tutawalie cku yake Yanga itakua ya manji na ndio utakua mwisho wenu mnaoishi mjini kwa kuitegemea Yanga
Hamtaki manji arudi Yanga ili muendelee kuuza jezi,kiunafiki unaulizia mattz ya tff ikiwa we ni mmojawapo wanaochipukia ktk kuongezea mattz ya mpira wetu kwa ajili ya matumbo yenu!Manji tunampa Yanga iwe yake kwa % zote soon,nyie jiandaeni mkalime tu shambaMunadanganyana tu Manji hawezi rudi Yanga hata siku moja imebakiwa history tu kama viongozi wengine waliopita Yanga
Endeleeni kudanganyana tu huko mtaani
Sasa yuko wapi huyo manjiHamtaki manji arudi Yanga ili muendelee kuuza jezi,kiunafiki unaulizia mattz ya tff ikiwa we ni mmojawapo wanaochipukia ktk kuongezea mattz ya mpira wetu kwa ajili ya matumbo yenu!Manji tunampa Yanga iwe yake kwa % zote soon,nyie jiandaeni mkalime tu shamba
Mishahara watakopwa na ubingwa watachukua mchana kweupe. Hiyo ndiyo Yanga. Nawapa mwaka mmoja na Mo wenu.Yanga aikodishwi sawa,nendeni ss mkawalipe mishahara wale wachezaji!
Mimi sio mkia mkuu,mkia huyo muanzisha thread mnafiki mjukuu wa mzee akilimaliMishahara watakopwa na ubingwa watachukua mchana kweupe. Hiyo ndiyo Yanga. Nawapa mwaka mmoja na Mo wenu.
Mimi sio mkia mkuu,mkia huyo muanzisha thread mnafiki mjukuu wa mzee akilimaliMishahara watakopwa na ubingwa watachukua mchana kweupe. Hiyo ndiyo Yanga. Nawapa mwaka mmoja na Mo wenu.
NimekusomaMimi sio mkia mkuu,mkia huyo muanzisha thread mnafiki mjukuu wa mzee akilimali
Huyu jamaa simuelewagi kabisa, bora umempa makavu yakeKtk wanafiki waliomkataa Manji pale Yanga nawe ni mmojawapo,kilichopo tff ndio kilichopo Yanga kwa ss,kawaulizie wachumia tumbo wenzio ndio watakujibu hii taka taka yako
Kama ndo hao waliotubania kupata madola ya Manji hana sifa za kujifanya anaongelea matatizo ya TFF ndo wale wale wanaojifanya watu wa mpiraHamtaki manji arudi Yanga ili muendelee kuuza jezi,kiunafiki unaulizia mattz ya tff ikiwa we ni mmojawapo wanaochipukia ktk kuongezea mattz ya mpira wetu kwa ajili ya matumbo yenu!Manji tunampa Yanga iwe yake kwa % zote soon,nyie jiandaeni mkalime tu shamba
Wewe na mzee Akilimali ndo mmeifanya Yanga ifike hapa, timu mishahara hakuna, kila kitu hovyo hovyo. Si ajabu wewe na Mkemi mkauza mechi na waEthiopia kwa tamaa zenu mlizonazo.Katika wanafiki wasiojulikana lakini Wapo ni wewe
Unanipa ufalume wa kumkataa manji Ila waliomshauri manji Yanga inakodishwa umewaona ni wana wa Mungu
Naongele Move ya Titanic TFF
Wewe unaleta ya Manji
Ni moja ya marazi tuliokuwa nayo katika Taifa letu haya
Yanga imekulisha vya kutosha, kuanzia kwenye magroup ya Whatsapp hadi viingilio getini. Hatukuhitaji tena... umeibia watu sana whatsapp ukijidai unachangishia timu kumbe unakula wewe.Nani kawambia wachezaji wanadai mishahara maneno yenu ya mtaani hayo
Munadanganyana
Hakuna mchezaji anaeidai Yanga hata mmoja
Ila mtaambiwa wachezaji wanadai ili muzidi tawaliwa