Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Status
Not open for further replies.
Aisee huuu niufiaadi pia inabidi jipuholi litumbuliwe sasa kwanini wasiwe wakwwli?
We sindio unae tii kufungua pochi bila shuruti!! Mwanamke atumbuliwe kwa lipi? Acha utani na biashara za watu wewe Kiumbe!!

Mwaego Mwaya wanawake tutoboeni hivyo hivyo,,, Tubaki kama NET, tuwakomeshe Mbu.
 
Kuna demu nimetongoza jana asubuhi jioni akaniomba elf30 ya kusuka!!

Ikabidi nimwambie samahani Dada ndoto zangu za mchana ndivyo zilivyo naweza kuota nikaamka kabisa nikatembea njiani na kuongea na watu!!

Nisamehe bure kwanza ilikua saa ngapi?
 
Sio uache.. ...tufanye yale ya msukuma msomi ili kina mpama waache kukunyatia
 
Wengi ni wezi tu...maana zile sensory organs zimeshasuguliwa na kupata sugu kwa hiyo no hisia zozote...ukiwa mjanja unaweza kugundua kwa kulinganisha instrumental na sauti kama vinaenda sawa......ukitaka kumpata kabisa jifanye unaanza kumaliza utaona anaongeza sauti kumbe hewa..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom