Wanajamvi, ni nini kinaendelea kwenye hii Bodi ya Taifa ya Ununuzi na Ugavi ? Watu walifanya mitihani mwezi May, 2016, hadi leo hawajatoa matokeo. Wanasema watahiniwa wanaruhusiwa kuendelea na stage zinazofuata, sasa najiuliza ikiwa kwenye stage uliyofanyia mitihani mwezi May mtu amefeli masomo yote utawezaje kufanya mitihani ya stage inayofuata? Na hiyo itakuwa ni kinyume na taratibu za mitihani hiyo.
Wahusika kama wamo humu wangetoa ufafanuzi zaidi.
Wahusika kama wamo humu wangetoa ufafanuzi zaidi.