Nini kinaendelea Ngorongoro?

Nenda kule uwatetee
 
Tuko busy na Kizimkazi day.....tuache kidogo
 
Sawa Mimi nitakukumbusha tu wakati ukifika.
Jamaa nikikusoma between the lines nakuona unataka sana hili la DPW liishie hewani, ndio maana upo kimya sana kuhusu hilo jambo, mimi naamini haki ya watanganyika ipo tu.
 
Huko Ngorongoro ni mwendo kamata, weka ndani, peleka kusikojulikana, piga, vunja maboma ya wamasai na piga marufuku kutoa habari!
Kuna genocide ya kimya kimya inaendelea ngorongoro
 

Acha kupotosha umma, unao ushahidi wa hili? Nani akuamini na maelezo yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…