Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wana JF!
Kama wasafiri hapa duniani, binadamu tumekuwa tukipigana na kujitahidi kwamba tunapata mafanikio ili siku pale parapanda litakapolia, basi mtu aweze kuondoka na kuacha alama, kwamba jamaa alikuwa amefanikiwa au hajafanikiwa kimaisha n.k.
Je, mafanikio katika maisha ya binadamu ni nini?
Yanakuwa defined vipi?
Ni yapi yanayotufanye tuseme fulani kafanikiwa kimaisha?
Je, kuwa na mali nyingi - magari, nyumba, pesa n.k. ni mafanikio katika maisha?
Je, kusafiri na kutembelea nchi na sehemu mbalimbali duniani (hata nje ya dunia, mwezini, angani n.k.), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na kazi nzuri (yenye mshahara mnono au kazi unayoipenda), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na watoto wengi, ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na marafiki wengi (kuishi vizuri na binadamu wenzako), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na machapisho mengi (vitabu, articles n.k.), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na wake/waume au wapenzi wengi ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na mume au mke, ni mafanikio katika maisha?
Je, kushika neno la Mungu na kumwamini Yeye, ni mafanikio katika maisha?
Je, kuna universal meaning ya mafanikio ya maisha?
Hakika ninapata ugumu katika kudefine mafanikio katika maisha!
NB: Mtanisamehe sana kama mada kama hii imeshawahi kujadiliwa; kama ndiyo, basi ifutwe.
Kama wasafiri hapa duniani, binadamu tumekuwa tukipigana na kujitahidi kwamba tunapata mafanikio ili siku pale parapanda litakapolia, basi mtu aweze kuondoka na kuacha alama, kwamba jamaa alikuwa amefanikiwa au hajafanikiwa kimaisha n.k.
Je, mafanikio katika maisha ya binadamu ni nini?
Yanakuwa defined vipi?
Ni yapi yanayotufanye tuseme fulani kafanikiwa kimaisha?
Je, kuwa na mali nyingi - magari, nyumba, pesa n.k. ni mafanikio katika maisha?
Je, kusafiri na kutembelea nchi na sehemu mbalimbali duniani (hata nje ya dunia, mwezini, angani n.k.), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na kazi nzuri (yenye mshahara mnono au kazi unayoipenda), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na watoto wengi, ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na marafiki wengi (kuishi vizuri na binadamu wenzako), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na machapisho mengi (vitabu, articles n.k.), ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na wake/waume au wapenzi wengi ni mafanikio katika maisha?
Je, kuwa na mume au mke, ni mafanikio katika maisha?
Je, kushika neno la Mungu na kumwamini Yeye, ni mafanikio katika maisha?
Je, kuna universal meaning ya mafanikio ya maisha?
Hakika ninapata ugumu katika kudefine mafanikio katika maisha!
NB: Mtanisamehe sana kama mada kama hii imeshawahi kujadiliwa; kama ndiyo, basi ifutwe.