GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,725
- 109,157
Nje ya Mada ( na wala haihusiani kabiaa na Bondia wa Mchongo tajwa hapa ) hivi ni kwanini Siku hizi Watu wakikukuta / wakikufumania na Wake zao na wakijua tu kuwa Wewe ni Mtu maarufu duniani wanachokifanya ni Kukuingilia (kwa Mpalange ) kama nawe ulivyomuingilia Mke wao / Shemeji yao huku Wakikurekodi na kukupa Masharti ambayo Automatically yatakufanya uwe Mpole na Mkimya kwa Jamii inayokuzunguka.