Nini kimeufifisha ghafla Umaarufu wa Bondia wa Mchongo Kareem Mandonga?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,725
109,157
Nje ya Mada ( na wala haihusiani kabiaa na Bondia wa Mchongo tajwa hapa ) hivi ni kwanini Siku hizi Watu wakikukuta / wakikufumania na Wake zao na wakijua tu kuwa Wewe ni Mtu maarufu duniani wanachokifanya ni Kukuingilia (kwa Mpalange ) kama nawe ulivyomuingilia Mke wao / Shemeji yao huku Wakikurekodi na kukupa Masharti ambayo Automatically yatakufanya uwe Mpole na Mkimya kwa Jamii inayokuzunguka.
 
Watu mnataka kusema mtu kazi kavuliwa ubingwa ndani na nje ya uwanja?
Japo hajafanyiwa hivyo kwakuwa Yeye ndiyo Mwanamke mwenye Nguvu na Mbabe Tanzania na wala nilichokiandika hakihusiani mae kabisa, ila nakuuliza kwani inashindikana kama Wajuba ( Wazee wa Pemba, Tanga, Lamu, Mombasa, Ugiriki, Italy na UAE ) kama wakimpandia Dau Nono ili Waufukue mazima na kunakotukuka Uvungu wake?
 
Japo hajafanyiwa hivyo kwakuwa Yeye ndiyo Mwanamke mwenye Nguvu na Mbabe Tanzania na wala nilichokiandika hakihusiani mae kabisa, ila nakuuliza kwani inashindikana kama Wajuba ( Wazee wa Pemba, Tanga, Lamu, Mombasa, Ugiriki, Italy na UAE ) kama wakimpandia Dau Nono ili Waufukue mazima na kunakotukuka Uvungu wake?
Duh!
 
Nitarudi
IMG-20240131-WA0019.jpg
 
Nje ya Mada ( na wala haihusiani kabiaa na Bondia wa Mchongo tajwa hapa ) hivi ni kwanini Siku hizi Watu wakikukuta / wakikufumania na Wake zao na wakijua tu kuwa Wewe ni Mtu maarufu duniani wanachokifanya ni Kukuingilia (kwa Mpalange ) kama nawe ulivyomuingilia Mke wao / Shemeji yao huku Wakikurekodi na kukupa Masharti ambayo Automatically yatakufanya uwe Mpole na Mkimya kwa Jamii inayokuzunguka.
We mtu una akili nyingi sana

ngoja nisome kwa kutulia huu uzi wako labda ntapata codes niwezo to uncode.
 
We mtu una akili nyingi sana

ngoja nisome kwa kutulia huu uzi wako labda ntapata codes niwezo to uncode.
Asante kwa Kugundua kuwa nina Akili nyingi sana ambayo ni moja ya Tunu / Shani kubwa na Tukuka niliyobarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu, ila ndiyo Nachukiwa na Wapumbavu wengi mno hapa Jamvini.
 
Nje ya Mada ( na wala haihusiani kabiaa na Bondia wa Mchongo tajwa hapa ) hivi ni kwanini Siku hizi Watu wakikukuta / wakikufumania na Wake zao na wakijua tu kuwa Wewe ni Mtu maarufu duniani wanachokifanya ni Kukuingilia (kwa Mpalange ) kama nawe ulivyomuingilia Mke wao / Shemeji yao huku Wakikurekodi na kukupa Masharti ambayo Automatically yatakufanya uwe Mpole na Mkimya kwa Jamii inayokuzunguka.
hii kitu imekuja kwa kuwa kuna teknolojia ya siku zinazorekodi,kule zamani ukifumwa unatembea na mke wa mtu,ama wanakuua au kukuingilia ila hawakurekodi bali kuna watu huwa wanaitwa kushuhudia.Ama kuhusu mandonga msimu wake umeisha
 
Back
Top Bottom