Nini kimemsibu RENATUS MKINGA?

Huu nao ukweli CCM ndo waumini wa muungano hili huitaji kwenda shule kujua. Mkinga kavaa nguo ya CCM akimaanisha lile aliloliamini kuhusu muungano. Mkinga mtu wa misimamo na hapa anasimamia muungano ila ukimwambia richmondi. meremeta, deep green utajua huyo ni nani.
 

Njaa Inabadilisha Fikra hata za vijana Makini.PASCO BADO UNA HAMU NA CCM?
 
Nilidhani kisha fikishwa MABWE PANDE
 

Wewe sema mambo meeengi kadri utakavyo ila mimi nitakupima kwa jambo moja tu nalo ni kuhusu lowassa na nec, unajua ni nini ulichokisema na nini kimetokea mpaka sasa! assumptions and speculations arise from plausible basis not from absurd remarks!
 
Njaa Inabadilisha Fikra hata za vijana Makini.PASCO BADO UNA HAMU NA CCM?
Baba Matatizo, hili la kuhusu CCM sio suala la hamu!, so far ndicho chama pekee kilichopo very organized!, kinakabiliwa na matatizo makubwa ya kuhodhiwa na mafisadi, na kimeoza na kunuka rushwa from top to bottom!. Sasa hivi vyama vingine visipojipanga na kujionyesha ni vyama mbadala, amini nakuambia, 2015 ni CCM tena, pamoja na uozo wake, pamoja na mafisadi yake, tena sasa ndio mafisadi papa, watatinga rasmi Ikulu, kwa ridhaa yetu!.
P.
 

ni kweli ccm kinalinda muungano dhidi ya raia wema wasio wezi, mafisadi wanaotaka kuufanyia mabadiliko yenye kunufaisha wengi
 

Ulitaka aunge mkono chama gani ili moyo wako ufurahi?,pili.hivi shati alilovaa ndio kimetenda hayo unayosema,chama au baadhi ya watu walioko ndani ya chama hicho wasiokuwa na uadilifu kama ambavyo wapo katika vyama vingine?.

Jaribu kuwa na fikra pevu,halafu kajifunze kiswahili ndio uje uweke Thread humu JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…