Uchaguzi umeisha, amerudi kazini anaendelea na maisha yake, atarudi tena kwenye siasa kipindi cha uchaguzi 2020.
yupoBaada ya uchaguzi mkuu, aliibuka mwanasheria machachari alikuwa akichambua vifungu vya sheria na katiba ya nchi kwa utaalamu mwingi dhidi ya serikali ya CCM. Lakini cha ajabu tangu uchaguzi wa marudio ufanyike na Shein kupitia CCM kutangazwa mshindi huyu binti Karume haonekani tena wala kusikika kwenye vyombo vya habari.
Wadau mwenye kufahamu alipo atujulishe na kwanini yupo kimya wakati mapambano bado yanaendelea!
Baada ya uchaguzi mkuu, aliibuka mwanasheria machachari alikuwa akichambua vifungu vya sheria na katiba ya nchi kwa utaalamu mwingi dhidi ya serikali ya CCM. Lakini cha ajabu tangu uchaguzi wa marudio ufanyike na Shein kupitia CCM kutangazwa mshindi huyu binti Karume haonekani tena wala kusikika kwenye vyombo vya habari.
Wadau mwenye kufahamu alipo atujulishe na kwanini yupo kimya wakati mapambano bado yanaendelea!
wacha tuwaulize wenyewe!Hivi kule Zanzibar hakuna msitu wa Mabwepande?
kipindi kile alikuwa likizo kidogo!Yupo na anaendelea na kazi zake kama kawaida
ULIPOAMBIWA KUNA MAISHA BAADAYA UCHAGUZI ULIJUA UNAENDELEBaada ya uchaguzi mkuu, aliibuka mwanasheria machachari alikuwa akichambua vifungu vya sheria na katiba ya nchi kwa utaalamu mwingi dhidi ya serikali ya CCM. Lakini cha ajabu tangu uchaguzi wa marudio ufanyike na Shein kupitia CCM kutangazwa mshindi huyu binti Karume haonekani tena wala kusikika kwenye vyombo vya habari.
Wadau mwenye kufahamu alipo atujulishe na kwanini yupo kimya wakati mapambano bado yanaendelea!
Haitambui hio serikali ya smz ndio maana kawanyamazia. Kila mtu alitegemea hilo baada ya mapinduzi ya 2015. Serikali ya CCM Katiba kwao ni kama kitabu cha ushauri tu wanafuata wanayotaka tu.Hivi sasa ndio katiba inachezewa kuliko kipindi cha uchaguzi!
labda atakua kaenda icc kushtaki
Baada ya uchaguzi mkuu, aliibuka mwanasheria machachari alikuwa akichambua vifungu vya sheria na katiba ya nchi kwa utaalamu mwingi dhidi ya serikali ya CCM. Lakini cha ajabu tangu uchaguzi wa marudio ufanyike na Shein kupitia CCM kutangazwa mshindi huyu binti Karume haonekani tena wala kusikika kwenye vyombo vya habari.
Wadau mwenye kufahamu alipo atujulishe na kwanini yupo kimya wakati mapambano bado yanaendelea!
anakula mafao baada ya kudai urithi wake kwa kutumia jukwaa!Yuko pale REX ATTONEY kwa sinare family family friend of lowasa and ROSTAM