Tumeshuhudia kabla ya kuanza shughuli nyingine za bunge,spita alimhitaji joshua na mwenzake wakapate uthibitisho wa ubenge wao,yaani kiapo sasa hawakuwepo ni kitu cha kushangaza kidogo.ila hatujui kilichowasibu ni vyema km kuna mwana jf anafahamu atutaarifu.