AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,217
Yapata takribani miezi miwili ujaonekana kwenye media ukitupa nondo za maana hasa nyakati hizi ambapo mambo hayaendi vyema mfukoni mwa watu.
Ni majuzi tu mtia nia wa Moro mjini kajiweka pembeni kutoka chamani, je kama kiongozi wa chama unaona hali ni shwari?
Hata Katibu Mkuu wa CHADEMA katokezea kusemea hili swala la madam Dkt @Ziker aliyetumbuliwa wa pale upeponi karibu na mjengo mweupe we umeona sawa?
We ndo ulisimama na kijipambanua pale mjengoni Dodoma kuhusu hii sheria, je haya ya Max Melo hujayaona?
Nini kimekupata mh. Zitto Kabwe (MB)
Nipeni jibu nawasilisha hoja mezani.
Ni majuzi tu mtia nia wa Moro mjini kajiweka pembeni kutoka chamani, je kama kiongozi wa chama unaona hali ni shwari?
Hata Katibu Mkuu wa CHADEMA katokezea kusemea hili swala la madam Dkt @Ziker aliyetumbuliwa wa pale upeponi karibu na mjengo mweupe we umeona sawa?
We ndo ulisimama na kijipambanua pale mjengoni Dodoma kuhusu hii sheria, je haya ya Max Melo hujayaona?
Nini kimekupata mh. Zitto Kabwe (MB)
Nipeni jibu nawasilisha hoja mezani.