Nini kilisababisha ajali ya Maunda Zoro?

Nini kilisababisha ajali ya Maunda Zoro?

Ile njia ni nyembamba sana, JPM alivyowa waziri aligoma kuifungua na alihoji njia gani ipo kama mkojo haina vituo ya daladala.
Alivyokuwa Rais Alitanua tanua lakni ni nyembamba .
 
Mm huwa situmii kilevi, ila nilibiringika mara tatu ndani ya gari baada ya tairi la mbele ku-bust. Nilikuwa mwendo wa kawaida sana. Ni Mungu tu alitaka niendelee kuwepo duniani, kila aliyeshuhudia tukio hilo alimtaja Mungu.



hakika YESU ni MWOKOZI
Amen..
Wazee wa 'safety' wanaamini "AJALI HUSABABISHWA" ukiwaambia mambo ya Mungu hawakuelewi, wenyewe ni wazee wa near miss tu
 
Back
Top Bottom