Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Salamu wakuu
Imekuwa kawaida kwa watanzania na wasomi wa nchi hii kulalama kila uchwao kwamba elimu ya Tanzania haimjengei mwanafunzi uwezo wa kujitegemea mwenyewe pia mambo mengi yaliyopo katika mtaala hayana mlengo wa kumwendeleza kijana kwa maendeleo yake na taifa kwa ujumla.
Inawezekana kweli hata mimi hapa nimepitia elimu hii hii na bado natafuta kuajiriwa ndio niweze kujitegemea tofauti na hapo elimu hii niliyoipata inaweza kuwa kazi bure tu!
Sasa nimejiuliza sana, elimu yetu hii inakosa nini zaidi ili iweze kumjenga mwanafunzi kiteknolojia, kiutamaduni, kiuchumi, na kijamii kwa ujumla wake?
Mtaala tuliona uongezewe nini kitakachompa mwanafunz mashiko?
Huenda haya yote wadau wakuu wa madaliko hawayajui (serikali)
Uzi huu itapendeza utolewe mawazo chanja yamfikie waziri mwenye dhamana Ndalichako nini afanye kumwezesha msomi wa badae
Imekuwa kawaida kwa watanzania na wasomi wa nchi hii kulalama kila uchwao kwamba elimu ya Tanzania haimjengei mwanafunzi uwezo wa kujitegemea mwenyewe pia mambo mengi yaliyopo katika mtaala hayana mlengo wa kumwendeleza kijana kwa maendeleo yake na taifa kwa ujumla.
Inawezekana kweli hata mimi hapa nimepitia elimu hii hii na bado natafuta kuajiriwa ndio niweze kujitegemea tofauti na hapo elimu hii niliyoipata inaweza kuwa kazi bure tu!
Sasa nimejiuliza sana, elimu yetu hii inakosa nini zaidi ili iweze kumjenga mwanafunzi kiteknolojia, kiutamaduni, kiuchumi, na kijamii kwa ujumla wake?
Mtaala tuliona uongezewe nini kitakachompa mwanafunz mashiko?
Huenda haya yote wadau wakuu wa madaliko hawayajui (serikali)
Uzi huu itapendeza utolewe mawazo chanja yamfikie waziri mwenye dhamana Ndalichako nini afanye kumwezesha msomi wa badae