Ni swala lisilo pingika kwamba kitendo cha Scorpion kumtoboa macho bwana Said kama anavyotuhumiwa limegusa hisia za Watanzania wengi sana. Naomba maoni ya wanasheria humu ndani juu ya hukumu atakayopata ama ni vipi Scorpion anaweza asikutwe na hatia? ?..?,