Nini hatma ya nembo ya quality group kwenye jezi ya Yanga?Yanga wamemfukuza Manji?

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,913
43,503
Wasalaam wana jamvi.
Ni ukweli ulio wazi kabisa ujio wa sport pesa utamfukuza Manji YANGA na nitakacho tokea ni Yanga kupelekwa mahakamani kwa madeni wanayo daiwa na Manji kwakuwa amekuwa akiwalisha,kuwavisha na kuwahudumia kwa kila kitu...
Manji anategemea nembo yake iendelee kukaa mbele ya jezi ili aendelee kutangaza biashara yake sasa kilichotokea ni wazi Manji hatokubali na lazima kinuke.

Ukweli ni kwamba Manja hajakubaliana na mkataba kati ya sportpesa na Yanga kwakuwa maslai yake yameguswa na kitakachofuata ni kuongea na wana habari na kuwaburuza Yanga mahakamani ili wamlipe madeni yake kisha waachane...ni wazi pesa za sportpesa zitatumika kumlipa Manji.

Wasalaam........
 
Huyo ni Mohamedi Dewji na Sio Yusuph Manji....

Manji ni Mwenyekiti wa Yanga...Yanga haiwezi kuingia mkataba wowote mpaka Mwenyekiti aridhie sasa ukiona Yanga imeingia mkataba ujue Manji karidhia...

Mo alikuwa mfadhili tu wa Simba aliekuwa akiipa Simba pesa kwa mapenzi yake akitegemea aje kuinunua huko mbele ya Safari...Hana Uongozi wowote pale Simba ndio maana viongozi wa Simba waliweza kuingia mkataba bila kumshirikisha.
 
...ni wazi pesa za sportpesa zitatumika kumlipa Manji.....SASA SHIDA IKO WAPI KAMA NDIO ITAKUWA HIVYO

BTW NYIE MMESHAMLIPA MO
 
Huyo ni Mohamedi Dewji na Sio Yusuph Manji....

Manji ni Mwenyekiti wa Yanga...Yanga haiwezi kuingia mkataba wowote mpaka Mwenyekiti aridhie sasa ukiona Yanga imeingia mkataba ujue Manji karidhia...

Mo alikuwa mfadhili tu wa Simba aliekuwa akiipa Simba pesa kwa mapenzi yake akitegemea aje kuinunua huko mbele ya Safari...Hana Uongozi wowote pale Simba ndio maana viongozi wa Simba waliweza kuingia mkataba bila kumshirikisha.
Mleta mada kapuyanga
 
halafu atakwambia mimi wakili huyu mtu...yani mangwini kazi sana kushirikisha ubongo kwenye kufikiri
 
Wasalaam wana jamvi.
Ni ukweli ulio wazi kabisa ujio wa sport pesa utamfukuza Manji YANGA na nitakacho tokea ni Yanga kupelekwa mahakamani kwa madeni wanayo daiwa na Manji kwakuwa amekuwa akiwalisha,kuwavisha na kuwahudumia kwa kila kitu...
Manji anategemea nembo yake iendelee kukaa mbele ya jezi ili aendelee kutangaza biashara yake sasa kilichotokea ni wazi Manji hatokubali na lazima kinuke.

Ukweli ni kwamba Manja hajakubaliana na mkataba kati ya sportpesa na Yanga kwakuwa maslai yake yameguswa na kitakachofuata ni kuongea na wana habari na kuwaburuza Yanga mahakamani ili wamlipe madeni yake kisha waachane...ni wazi pesa za sportpesa zitatumika kumlipa Manji.

Wasalaam........
Una kachuki flani na Manji, ingawa wote mnavaa jezi za kijani na njano
 
Back
Top Bottom