Nini hatima ya Lipumba vs Maalim Seif

Chama kitabaki Zanzibar baada ya wanachama wote wa bara kurudisha kadi. Ikiwa hivyo kitakosa sifa ya kuwa chama cha siasa na msajili atakifuta!
 
Watu wanaojiita maprofesa Tanzania ni shiiiiida !! Cheki matendo Yao hayaendani na huo Usomi wao, maprofesa wa Tanzania ni tofauti na maprofesa wa nchi zingine

Mfano mzuri wa maprofesa njaa wa Tanzania ni yule professor mzee wa kihaya ambaye ni mshauri wa chadema aliyefukuzwa Mlimani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…